avaragestudent
Member
- Apr 16, 2022
- 11
- 10
nishaielew, kwaiyo hiyo Tsh 2000 wamekupa baada ya mimi ku register?Join ntakuelekeza naskia usingiz kwa leo🙏
Sina shida ya 2000/ bhan ishu vip avaragestudentnishaielew, kwaiyo hiyo Tsh 2000 wamekupa baada ya mimi ku register?
maana ya kuweka hyo link ni nini bro?Sina shida ya 2000/ bhan ishu vip avaragestudent
Ficha upuuzi wako, hizo fomu wanajaza Wanafunzi wenyewe, labda wewe ulikuwa mtoro ukajaziwaBoss walimu ndio tatizo baada ya watoto kujaza selform Tamisemi huwa wanaomba walimu wajaze kwenye mfumo hiyo tarifa so walimu wengi hulipua so hawazingatii machaguo ya watoto
Mwalimu punguza hasira.Ficha upuuzi wako, hizo fomu wanajaza Wanafunzi wenyewe, labda wewe ulikuwa mtoro ukajaziwa
NdiyoKwahyo kutoka chuo kwenda shule pia afanye hvyohvyo