Wakili wa shetani
JF-Expert Member
- Nov 22, 2022
- 1,726
- 3,391
Katika timu zote kwenye mashindano ya CAF, jina la Young Africans ndiyo tamu zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna mashindano ya CAF, sema shirikishoKatika timu zote kwenye mashindano ya CAF, jina la Young Africans ndiyo tamu zaidi.
View attachment 2572965
Kusema mashindano ya CAF namaanisha shirikisho na ligi ya mabingwaHakuna mashindano ya CAF, sema shirikisho
Utachanganyaje timu zilizofuzu makundi Champions League na zile zilizotolewa mashindanoni? Mfaano mzuri, katika CAF Champions League, Zalan ilitolewa mashindanoni, halafu kuna timu kama Yanga nayo ilitolewa mashindanoni. Kwa ufupi, Yanga na Zalani walitolewa katika mashindano ya CAF Champions League. Sasa iweje kuanza kusema mashindano ya CAF, ili uonekane na wewe upo upo?Kusema mashindano ya CAF namaanisha shirikisho na ligi ya mabingwa
Na nembo yenu ya mwenge 😅😂😅Yanga, Young Africans au
Dar Young Africans . View attachment 2572967
Utapata kisukari bure, you have only two options, either win with us or watch us win!Hakuna mashindano ya CAF, sema shirikisho
lakini kisukari hakitibiwi kwa kujiita Champions League wakati upo shirikishoUtapata kisukari bure, you have only two options, either win with us or watch us win!
Mashindano ya shirikisho yanaendeshwa na nani? Unaijua CAF confederatin cup. Ndiyo maana mliitwa mbumbumbu.Utachanganyaje timu zilizofuzu makundi Champions League na zile zilizotolewa mashindanoni? Mfaano mzuri, katika CAF Champions League, Zalan ilitolewa mashindanoni, halafu kuna timu kama Yanga nayo ilitolewa mashindanoni. Kwa ufupi, Yanga na Zalani walitolewa katika mashindano ya CAF Champions League. Sasa iweje kuanza kusema mashindano ya CAF, ili uonekane na wewe upo upo?
Ndugu mbumbumbu mashindano ya CAF ni mengi mbona una kichwa kigumu wewelakini kisukari hakitibiwi kwa kujiita Champions League wakati upo shirikisho
MO anakazi sana kudeal na mbumbumbu kama hawa.Ndugu mbumbumbu mashindano ya CAF ni mengi mbona una kichwa kigumu wewe
Hamna mashindano ya CAF wewe
najua sana na mengine Simba Queens ilifika hadi nusu fainali ikawa timu ya pili nchini kutumia VAR baada ya Simba SC... mashindano ya CAF ni mengi mbona una kichwa kigumu wewe
Hakuna neno Dar! Acheni ushamba nyie wa Dar. Mbona nembo iko waziYanga, Young Africans au
Dar Young Africans . View attachment 2572967