Sema kweli majimaji baada ya kutawaza msalani unayafanyaje ili utoke mkavu au unavaa nguo hivyo hivyo?

Sema kweli majimaji baada ya kutawaza msalani unayafanyaje ili utoke mkavu au unavaa nguo hivyo hivyo?

Mwanga Lutila

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2016
Posts
4,208
Reaction score
14,143
Nimekuwa napata shida sana.

Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu.

Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji.

Wenzangu huwa mnafanyaje ili mtoke wakavu.

NB: Kutumia toilet paper pasipo maji bado unatoka na uchafu.
 
Nimekuwa napata shida sana.

Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu.

Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji.

Wenzangu huwa mnafanyaje ili mtoke wakavu.

NB: Kutumia toilet paper pasipo maji bado unatoka na uchafu.
Takbiir
 
Nimekuwa napata shida sana.

Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu.

Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji.

Wenzangu huwa mnafanyaje ili mtoke wakavu.

NB: Kutumia toilet paper pasipo maji bado unatoka na uchafu.
Wenzio tunajifuta na magunzi ya mahindi,jaribu ujionee
 
Nimekuwa napata shida sana.

Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu.

Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji.

Wenzangu huwa mnafanyaje ili mtoke wakavu.

NB: Kutumia toilet paper pasipo maji bado unatoka na uchafu.
Umeumaliza mwendo.
Acha kusingizia maji ya kutawadha
 
Maji ya Nini Tena?we kata gogo sepa zako hivyo hivyo hamna haja ya kutumia maji Wala toilet paper.
 
Kwa kawaida normal body physiology ilivyo inatakiwa ukishakunya, ukisimama basi usihisi kama kuna ka kitu kamebakia hapo mlangoni.

Ukiona umekunya kisha masalia yanabakia mlangoni basi ujue mfumo wako wa chakula hauko sawa sawa.

Mimi huwa nikienda kunya kama mazingira siyo rafiki sana basi sina haja ya kutawaza maana kunakuwa hakuna masalia hapo mlangoni.

Hivyo nikifika mazingira rafiki ndiyo naweza kukamilisha mchakato ama until next process ndio natawaza
.​
 
Kwa kawaida normal body physiology ilivyo inatakiwa ukishakunya, ukisimama basi usihisi kama kuna ka kitu kamebakia hapo mlangoni.

Ukiona umekunya kisha masalia yanabakia mlangoni basi ujue mfumo wako wa chakula hauko sawa sawa.

Mimi huwa nikienda kunya kama mazingira siyo rafiki sana basi sina haja ya kutawaza maana kunakuwa hakuna masalia hapo mlangoni.

Hivyo nikifika mazingira rafiki ndiyo naweza kukamilisha mchakato ama until next process ndio natawaza
.​
Shida sio maelezo yako, shida ni picha inayojijenga kichwani. The image in my head
 
Shida sio maelezo yako, shida ni picha inayojijenga kichwani. The image in my head
Shida mna ulaji mbaya, kula matunda kwa wingi, piga maji ya kutosha, epuka junky foods, uone kama hujatoa kimba kina mashirikiano kamili.
 
Tuanzie na jinsia Kwanza .....wewe ni me or ke?? Kama ni ke usisumbuke maana zile labia minora zinaifadhi maji maji......Ila kama ni me
.....Hilo Linda lako litakuwa na tatizo Sisi wanaume hata tutawaze na ndoo sita ukivaa boksa Tu maji kwisha
 
Nimekuwa napata shida sana.

Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu.

Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji.

Wenzangu huwa mnafanyaje ili mtoke wakavu.

NB: Kutumia toilet paper pasipo maji bado unatoka na uchafu.
Huna hata handkerchief?
 
Iyo hta Kwa wanawake binafs siwez kwenda hta haha ndogo bila kutumia maji ila solution ni kujipa mazoea ya kutembea na tishu kma ninatoka nje ya nyumbn au wipes ndogo zinabebeka
 
Nimekuwa napata shida sana.

Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu.

Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji.

Wenzangu huwa mnafanyaje ili mtoke wakavu.

NB: Kutumia toilet paper pasipo maji bado unatoka na uchafu.
1660453514780.png
 
Back
Top Bottom