Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,809
- 11,462
Huwa napiga vinu vya kichwa hawa watu nawachukia sana..huwa nawafanyia ukora.Kwani hua unakula mabwabwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa napiga vinu vya kichwa hawa watu nawachukia sana..huwa nawafanyia ukora.Kwani hua unakula mabwabwa
Ndio mnakuwaga watamu kweli, wengi hawajui tu.., ila si katakuwepo walau kakushikia dela?Ushakutana na ubao wa matangazo...... Basi ndo mim hapa
[emoji23][emoji23][emoji23]hua unawafanya nn?! Me nayajua mengi mnoHuwa napiga vinu vya kichwa hawa watu nawachukia sana..huwa nawafanyia ukora.
Ndio kakushikia dera kapoNdio mnakuwaga watamu kweli, wengi hawajui tu.., ila si katakuwepo walau kakushikia dela?
Thank you!, kilichobaki ni mimi tu sasa kufanya kinachotakiwa kufanyika.Ndio kakushikia dera kapo
Ni mbinu za kimedani nikiweka hapa hatari.[emoji23][emoji23][emoji23]hua unawafanya nn?! Me nayajua mengi mno
Weeeeh kumbe unafanya midhambi na midhambi eehNi mbinu za kimedani nikiweka hapa hatari.
Haya kufanya kipi hiko em nionyesheThank you!, kilichobaki ni mimi tu sasa kufanya kinachotakiwa kufanyika.
We si umesema kakushikia dela kapo?, na mimi ndio nakahitaji? Basi, kilichobaki ni mimi tu kukutendea haki..Haya kufanya kipi hiko em nionyeshe
Kutendea haki kakushikia dera au kiungo kingine [emoji15]We si umesema kakushikia dela kapo?, na mimi ndio nakahitaji? Basi, kilichobaki ni mimi tu kukutendea haki..
Hilo nitakupa uhuru wewe utachagua, kama utataka nitende haki kwa kakushikia dela sawa, kama ni hicho kiungo kingine sawa, kama utataka nivitendee haki viungo vyote, napo pia ni sawa, mimi niko flexible!Kutendea haki kakushikia dera au kiungo kingine [emoji15]
[emoji79][emoji79][emoji79][emoji79] KiruuuuhHilo nitakupa uhuru wewe utachagua, kama utataka nitende haki kwa kakushikia dela sawa, kama ni hicho kiungo kingine sawa, kama utataka nivitendee haki viungo vyote, napo pia ni sawa, mimi niko flexible!
Karibu, jisikie uko nyumbani![emoji79][emoji79][emoji79][emoji79] Kiruuuuh
Kama sikosei una jinsia tatuNimekuwa napata shida sana.
Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu.
Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji.
Wenzangu huwa mnafanyaje ili mtoke wakavu.
NB: Kutumia toilet paper pasipo maji bado unatoka na uchafu.
Ahsante sana mkuuKaribu, jisikie uko nyumbani!