Sema kweli majimaji baada ya kutawaza msalani unayafanyaje ili utoke mkavu au unavaa nguo hivyo hivyo?

Sema kweli majimaji baada ya kutawaza msalani unayafanyaje ili utoke mkavu au unavaa nguo hivyo hivyo?

Kutendea haki kakushikia dera au kiungo kingine [emoji15]
Hilo nitakupa uhuru wewe utachagua, kama utataka nitende haki kwa kakushikia dela sawa, kama ni hicho kiungo kingine sawa, kama utataka nivitendee haki viungo vyote, napo pia ni sawa, mimi niko flexible!
 
Hilo nitakupa uhuru wewe utachagua, kama utataka nitende haki kwa kakushikia dela sawa, kama ni hicho kiungo kingine sawa, kama utataka nivitendee haki viungo vyote, napo pia ni sawa, mimi niko flexible!
[emoji79][emoji79][emoji79][emoji79] Kiruuuuh
 
Nimekuwa napata shida sana.

Hasa unaenda toilet ambayo haina tishu zaidi ya maji tu.

Siku moja nikatawaza nivaa suruali nikaenda kukaa, baada ya muda nikajikuta suruali imelowa na yale majimaji.

Wenzangu huwa mnafanyaje ili mtoke wakavu.

NB: Kutumia toilet paper pasipo maji bado unatoka na uchafu.
Kama sikosei una jinsia tatu
 
Back
Top Bottom