Sema kweli majimaji baada ya kutawaza msalani unayafanyaje ili utoke mkavu au unavaa nguo hivyo hivyo?

Alafu unakuta imechora Matrakoo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
kitaalamu uko sawa kuhusu kinyesi! Ila kujisafisha ni Lazima sababu kwa vyovyote vile Lazima Utanuka.
 
Watu wa mikoani mnapata shida sana mnapokuja mjini. Mmeshazoea kuingia kichakani unajisaidia Kisha unavaa nguo na kuondoka.

Ukijitahidi sana unatumia majani. Sasa mkija mjini unakutana na watu wanatumia maji! Unaona aibu. Hapo ndio shida inapoanza. Kama ni mzoefu hili swali usingeuliza.
 
Miaka 20 ijayo tutalazimika kuwabeba mabinti zetu kuwapeleka sehemu za makumbusho kuwaonyesha mwanaume kamili alikua anafananaje
Kwa kweli..... Ety Kuna limoja nililiona kwanza linatako kunishinda, Alf likaja linanambia shoga mambo
Nkalimbia kaza sauti **** ww huoni sura yako ilivo ngumu hvo toka hapo limenichukia kabisa yani
 
Kwa kweli..... Ety Kuna limoja nililiona kwanza linatako kunishinda, Alf likaja linanambia shoga mambo
Nkalimbia kaza sauti **** ww huoni sura yako ilivo ngumu hvo toka hapo limenichukia kabisa yani
Hahahaaa, lina tako kukushinda eti?!
 
That is fvcked up!!
 

Ndio maana unanuka mavi
 
Shida mna ulaji mbaya, kula matunda kwa wingi, piga maji ya kutosha, epuka junky foods, uone kama hujatoa kimba kina mashirikiano kamili.
Umenijibu vibaya bure tuu, comment yangu haikustahili aina ya jibu ulilotoa. Ila nakushukuru.
 
Wanyama na ndege hawana maji Wala toilet paper [emoji848][emoji848].
Lakini wako Safi
 
ngoja nikupe mbinu za kiscout.
Kama hakuna tissue ukimaliza kutawaza una mayele mayele.
Njia nyingine ni kujipiga makofi kadhaa sehem oevu.
Kama we ni muislam wa kiume tumia mtawazo wa kiibada kwa kusugua kichwa cha dushe kwenye ukuta wa chupingi ukipigapiga kama tembo kaingiliwa sisimizi mkongani!
kama njia zote hizi hazijakusaidia rudia njia ya kwanza hadi ya mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…