KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,794
- 9,075
Mimi mara yakwanza sikuamini nilipoona TV halafu unaweka kanda?nilizoea za film mkanda unazungukaaaa sasa kuona kideo ukweli nilikiona mara ya kwanza mwaka 1983 Tena aliletwa General Manager wa kiwanda cha sukari Kagera alikuwa anaitwa Kakiziba that was my first time kuona Tvi!.