Sema Neno kuhusu "Biashara ya FOREX"

Sema Neno kuhusu "Biashara ya FOREX"

maslulkat

Senior Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
107
Reaction score
35
Binafsi Biashara ya FOREX, naisemea kwamba inahitaji uijue wewe mwenyewe kwa kutafuta knowledge yake na kuelewa ni nini unafanya uingiapo sokoni

1. Weka Trading Plan
2. Acha Tamaa ya kutaka kutajirika within a day
3. Usitegee Signals kwa mtu
4. Uwe na muda wa kutosha.
Screenshot_20220616-121709_MetaTrader%204.jpg
 
Hii biashara imepigwa marufuku kwenye baadhi ya nchi zilizokuwa zinaongoza kutoa taarifa na kuendesha kampuni za uwakala wa masoko ya fedha kama huko Israel. Nashauri yeyote anayetaka kujihusisha huko afanye utafiti wa kutosha na kuelewa sana. Akiona sehemu haelewi au lugha inamkata chenga aache! Binafsi nimefatilia kidogo nikaona haina tofauti na kurusharusha pesa sportpesa. Naiweka kwenye kapu moja la michongo ambayo watu hupoteza pesa, kama vile kwenye network marketing.
 
Hii biashara imepigwa marufuku kwenye baadhi ya nchi zilizokuwa zinaongoza kutoa taarifa na kuendesha kampuni za uwakala wa masoko ya fedha kama huko Israel. Nashauri yeyote anayetaka kujihusisha huko afanye utafiti wa kutosha na kuelewa sana. Akiona sehemu haelewi au lugha inamkata chenga aache! Binafsi nimefatilia kidogo nikaona haina tofauti na kurusharusha pesa sportpesa. Naiweka kwenye kapu moja la michongo ambayo watu hupoteza pesa, kama vile kwenye network marketing.
Kesi za Watu kufilisiwa na Forex nyingi kuliko Watu kutoboa na Forex...... ila nawazaga tu KWANINI WALIOIELEWA VIZURI FOREX HUWA HAWATRADE ILA WANAFUNGUA DARASA KUWAFUNDISHA WATU WATRADE KWA MALIPO!!!!!!
 
Hii biashara imepigwa marufuku kwenye baadhi ya nchi zilizokuwa zinaongoza kutoa taarifa na kuendesha kampuni za uwakala wa masoko ya fedha kama huko Israel. Nashauri yeyote anayetaka kujihusisha huko afanye utafiti wa kutosha na kuelewa sana. Akiona sehemu haelewi au lugha inamkata chenga aache! Binafsi nimefatilia kidogo nikaona haina tofauti na kurusharusha pesa sportpesa. Naiweka kwenye kapu moja la michongo ambayo watu hupoteza pesa, kama vile kwenye network marketing.
Find knowledge kuhusu Fx, soma sana find strategies na hapa watu huwa wanafeli, wanaingia sokoni then anahisi tayari within a day amejua na anaweza kusell or kubuy ila kujua why, he or she is doing so, kwahiyo find knowledge and you enjoy.

Anyway forex sio gambling ulinganishe na sportpesa
 
Kesi za Watu kufilisiwa na Forex nyingi kuliko Watu kutoboa na Forex...... ila nawazaga tu KWANINI WALIOIELEWA VIZURI FOREX HUWA HAWATRADE ILA WANAFUNGUA DARASA KUWAFUNDISHA WATU WATRADE KWA MALIPO!!!!!!
Hamna anayeijua Forex, then aache kutrade. Kwasababu most of retail traders ndio hao unawaona wanakurupukia soko, and pro traders ni wachache sana, you need Time to be a pro.
 
Kesi za Watu kufilisiwa na Forex nyingi kuliko Watu kutoboa na Forex...... ila nawazaga tu KWANINI WALIOIELEWA VIZURI FOREX HUWA HAWATRADE ILA WANAFUNGUA DARASA KUWAFUNDISHA WATU WATRADE KWA MALIPO!!!!!!
Ndio ushangae hapo Mpigadili Tz Kwanini mtu masikini akupe wewe dawa ya kutoka kwenye umasikini? Sio kawaida kwa mtu usiye na mahusiano ya moja kwa moja akupe tu siri ya mafanikio. Inabidi uwe na akili changa kuamini watu ni wema kiasi hicho.

Kimsingi, ukielewa anajitanganza na kudili na watu wengi utajua hata muonekano wa mafanikio anaodanganyia watu unatokana na hao watu wala sio anachohubiri. Natamani kusema ni utapeli.
 
Hii biashara wanaonufaika ni kama ifuatavyo.
1-Wanaouza material ya kujifunza na kutoa elimu, hapa wanatoa vitabu, mafunzo ya online na videos, hawa instagram wamejaa, suti, sports cars, nyumba kali, screenshot za profits, bata n.k hawa ni successful story mwanzo mwisho.

2-Trader wakubwa(Individual traders wenye mifuko, Institutions, Banks, Hedgefunds n.k n.k) Hawa wana mitaji mikubwa, kitendo cha kutabiri next 5 pips ni buy au selling wanaingiza millions of money, wana washauri na wataalamu wa kufanya analysis, wana risk managers, yote na yote na wao wanakosea trades. Wengine hawagusi leverage wengine leverage kubwa ni 5. (Hawa ni asilimia chache sana hawana mbwe mbwe na maneno mengi).

3-Brokers, brokers ni mhamasishaji na wazee wa kutoa successful story, mbinu mbali mbali kuhakikisha traders wanajaa na kuweka pesa.

Hao ndio walamba asali ya FOREX ndugu zangu, huku kwingine wazee wa dola $100 inakuwa $1000 within a week ni betting mnafanya.
Nilifuatilia sana Forex wakati fulani, kama huna pesa acha hio mambo, professional traders wengi tu wana strategy ambapo winning rate ni 40%, 4 winning trades out of 10, ana loose 6 trades, kwa kutumia risk management anaingiza faida and they are happily, wana mitaji.
 
Find knowledge kuhusu Fx, soma sana find strategies na hapa watu huwa wanafeli, wanaingia sokoni then anahisi tayari within a day amejua na anaweza kusell or kubuy ila kujua why, he or she is doing so, kwahiyo find knowledge and you enjoy.

Anyway forex sio gambling ulinganishe na sportpesa
Ukisema sio gambling unaanza uongo. Uwekezaji ambao hauna uzalishaji au utoaji huduma na huwezi kukadiria rejesho kwa msingi wa uchumi ni sawa na kubashiri. Kuuza na kununua huko unakosema wengine kwa lugha ngeni huita speculating, which really is gambling... hiyo mikakati(strategies) ya kubashiri(speculating) haina tofauti na ule unaofanyika kwenye michezo.

Ningependa kujua utofauti unaojua wewe tofauti na wasiojua watu waliosoma mambo ya fedha. Hata ukiangalia NYSE au LSE utagundua taarifa zote zinachakatwa na kompyuta tu wataalamu hawawezi kujua matokeo ya uwiano wa bei za sarafu hadi yachapishwe kwenye monitor, they can only react and try to presume on what caused the outcome. Utamshauri vipi mtu afanye hiyo kama kazi au uwekezaji wa pesa zake za uchache kwa jinsi sarafu zilivyo? You can put in place all the strategies you may like but in the end it is and always has been a gamble. Too risky, very low rewards.
 
Ndio ushangae hapo Mpigadili Tz Kwanini mtu masikini akupe wewe dawa ya kutoka kwenye umasikini? Sio kawaida kwa mtu usiye na mahusiano ya moja kwa moja akupe tu siri ya mafanikio. Inabidi uwe na akili changa kuamini watu ni wema kiasi hicho.

Kimsingi, ukielewa anajitanganza na kudili na watu wengi utajua hata muonekano wa mafanikio anaodanganyia watu unatokana na hao watu wala sio anachohubiri. Natamani kusema ni utapeli.
Ukweli Mchungu ila hakuna namna kuambiana
 
in forex we speculate the price movement of price. tunanufaika na tofauti ya kubadilika kwa bei ya kuingia na future.
forex busness model ni probability, if you belive you can be successful in probability do it, if you cant quit it.
betting=prediction=gamble=probability.
ila sasa kwenye forex the more you get knowledge the more probability increase,
ni betting ya wasomi, sio kila mtu inamfaa maana inahitaji kula shule ya kutosha.
 
Find knowledge kuhusu Fx, soma sana find strategies na hapa watu huwa wanafeli, wanaingia sokoni then anahisi tayari within a day amejua na anaweza kusell or kubuy ila kujua why, he or she is doing so, kwahiyo find knowledge and you enjoy.

Anyway forex sio gambling ulinganishe na sportpesa
viruri
 
Baada ya kuzingatia yote hayo, umefanikiwa kumake sh ngapi?
 
Back
Top Bottom