Sema Neno kuhusu "Biashara ya FOREX"

Sema Neno kuhusu "Biashara ya FOREX"

Mwaka 2008 wakati bitcoin inaanzishwa, ilijitokeza fursa ya kujipatia sarafu kwa kuchimba (mining) kupitia computer bure. Wachache waliamini wakachimba ila wengi walipuuzia kwa kuwa hazikuwa na thamani ya pesa (monetary value) kwa wakati huo. Wale waliochimba wamenufaika kwa kuuza sarafu walizochimba.

Miaka 14 baadaye imejitokeza tena fursa ya kujipatia coin za RENEC kwa kufanya mining.

1. Kujisajili na kuchimba ni bure.
2. Hakuna ulazima wa kumuunga mwenzako.
3. Coin ikizinduliwa waweza kutoa pesa kwa njia ya simu au benki.

Kama upo willing, nicheki inbox kwa maelezo zaidi na jinsi ya kujiunga.

Vile vile kama wewe tayari ni mchimbaji na ungependa kuungwa kwenye group la wachimbaji wa Renec Tanzania pia tuwasiliane.
 
Hii biashara imepigwa marufuku kwenye baadhi ya nchi zilizokuwa zinaongoza kutoa taarifa na kuendesha kampuni za uwakala wa masoko ya fedha kama huko Israel. Nashauri yeyote anayetaka kujihusisha huko afanye utafiti wa kutosha na kuelewa sana. Akiona sehemu haelewi au lugha inamkata chenga aache! Binafsi nimefatilia kidogo nikaona haina tofauti na kurusharusha pesa sportpesa. Naiweka kwenye kapu moja la michongo ambayo watu hupoteza pesa, kama vile kwenye network marketing.
EUR/GBP rates just set a fresh yearly high last week, and despite the sharp reversal lower, the pair continues to trade above descending channel resistance dating back to February 2021, suggesting that the bullish breakout remains on track. Momentum indicators remain bullish, with daily MACD trending higher above its signal line, while daily Slow Stochastics have stabilized around their median line. A slow, steady grind towards the 38.2% Fibonacci retracement of the 2020 high/2022 low range at 0.8698 may transpire during the remainder of June.
 
Binafsi Biashara ya FOREX, naisemea kwamba inahitaji uijue wewe mwenyewe kwa kutafuta knowledge yake na kuelewa ni nini unafanya uingiapo sokoni

1. Weka Trading Plan
2. Acha Tamaa ya kutaka kutajirika within a day
3. Usitegee Signals kwa mtu
4. Uwe na muda wa kutosha.View attachment 2264154
Aisee mda utaongea mwaka mmoja ni mdgo sana apo unachungwa chungwaaa uonekane kweli forex inakupea faida ila sasa time will tell utakuja kupigwa na kitu kizito kichwani na usiamini

Kwa leo huwezi kunielewa ila time will tell
 
Binafsi Biashara ya FOREX, naisemea kwamba inahitaji uijue wewe mwenyewe kwa kutafuta knowledge yake na kuelewa ni nini unafanya uingiapo sokoni

1. Weka Trading Plan
2. Acha Tamaa ya kutaka kutajirika within a day
3. Usitegee Signals kwa mtu
4. Uwe na muda wa kutosha.View attachment 2264154
Huwezi kujua machungu yake mpaka pale mikeka mirefu inapoanza kuchanika
 
Wakati ukiendelea kufanya mining fahamu kwamba Remitano Network Coin (RENEC) free cloud mining program ipo mwishoni na sarafu yao inakaribia kuzinduliwa hivi karibuni.

Hivyo kama ulijisajili kwa namba ya simu na email pekee bila kutumia kitambulisho hutoweza kutoa pesa zako, hivyo ni wakati sahihi sasa wa kukamilisha usajili (KYC2) ili isije ikawa ulipoteza muda wako bure kufanya mining.

Endapo utahitaji msaada zaidi wasiliana na aliyekuunganisha na Remitano au nicheki WhatsApp kwa kubofya hapa.https://wa.me/message/JJLHE5OLDCRRH1

Nitumie ujumbe endapo utapenda kujiunga na TZ Renec Miners WhatsApp group kwa ajili ya kupeana taarifa mbali mbali. Hii ni kwa Renec Miners pekee.
 
Ukisema sio gambling unaanza uongo. Uwekezaji ambao hauna uzalishaji au utoaji huduma na huwezi kukadiria rejesho kwa msingi wa uchumi ni sawa na kubashiri. Kuuza na kununua huko unakosema wengine kwa lugha ngeni huita speculating, which really is gambling... hiyo mikakati(strategies) ya kubashiri(speculating) haina tofauti na ule unaofanyika kwenye michezo.

Ningependa kujua utofauti unaojua wewe tofauti na wasiojua watu waliosoma mambo ya fedha. Hata ukiangalia NYSE au LSE utagundua taarifa zote zinachakatwa na kompyuta tu wataalamu hawawezi kujua matokeo ya uwiano wa bei za sarafu hadi yachapishwe kwenye monitor, they can only react and try to presume on what caused the outcome. Utamshauri vipi mtu afanye hiyo kama kazi au uwekezaji wa pesa zake za uchache kwa jinsi sarafu zilivyo? You can put in place all the strategies you may like but in the end it is and always has been a gamble. Too risky, very low rewards.
Mkuu watu wengi mnachanganya na kuiita gambling sababu wengi wanafanya na kuhisi kwamba nikiweka buy/sell leverage nimeiweka 100:1 hapo napiga mpunga ila kuna kitabu kimoja kinaitwa Currency Trading fro dummies kile kitabu ukikisoma unaelewa kabisa mbinu kadha wa kadha sema ni ngumu kukisoma mfano Fundamental Analysis imechambuliwa vizuri Technical analysis imechambuliwa vyema kabisa wengi wanaipenda Technical Analysis bila kua na background nzuri ya fundamental hicho kitabu kimechambua mpaka utumie broker wa aina gani na ujiulize ni features gani anazo ili uweze kua salama changamoto ya vitabu vingi nimeona vimejikita kwenye candlestick( technical analysis) hapo utaambiwa hadi soko la saa ngapi likiwa lina wind wengine wanaamka vipi taarifa kubwa ipo kwenye vitabu
 
Kitu kingine achana na kununua signals, sijui kujiunga na makundi sijui maswala ya mentor jichimbie soma vitabu soma vitabu anza taratibu mdogo mdogo...
 
Forex ni chimbo la kupoteza pesa bora anaetumia pesa vibaya kwenye pombe na mademu anaakili sana kuliko huu ujinga sijui forex
 
Mkuu watu wengi mnachanganya na kuiita gambling sababu wengi wanafanya na kuhisi kwamba nikiweka buy/sell leverage nimeiweka 100:1 hapo napiga mpunga ila kuna kitabu kimoja kinaitwa Currency Trading fro dummies kile kitabu ukikisoma unaelewa kabisa mbinu kadha wa kadha sema ni ngumu kukisoma mfano Fundamental Analysis imechambuliwa vizuri Technical analysis imechambuliwa vyema kabisa wengi wanaipenda Technical Analysis bila kua na background nzuri ya fundamental hicho kitabu kimechambua mpaka utumie broker wa aina gani na ujiulize ni features gani anazo ili uweze kua salama changamoto ya vitabu vingi nimeona vimejikita kwenye candlestick( technical analysis) hapo utaambiwa hadi soko la saa ngapi likiwa lina wind wengine wanaamka vipi taarifa kubwa ipo kwenye vitabu
iko hivi kwenye fx yetu hatununui sarafu yoyote tunanunua pair tu..
hizo batani mbili za buy or sell wamezidegin tu ili kuwezesha biashara iende.. so put in your mind hiki kitu.

unanufaika na nini kwenye fx yetu??? unanufaika na mijongeo ya bei kati ya sarafu tofauti mbili kwenye pair pale tu bei inapobalilikaa.kumbuka mwanzo kabisa fx, ilikuwa inaitwa bets on financial markets.

so ndugu zangu kwenye fx tunaspeculate(kutabiri) the movements of price(mienendo ya price) ikitokea tumetabiri price itapanda juu.. tunabofya batani ya buy na ikipanda kweli basi tunapata faida.. na ikitokea kinyume chake tunapata loss.
probability is also a business. and not all business is investment.

jamani vipi pair ya XAUUSD mnaionaje lakini??
 
iko hivi kwenye fx yetu hatununui sarafu yoyote tunanunua pair tu..
hizo batani mbili za buy or sell wamezidegin tu ili kuwezesha biashara iende.. so put in your mind hiki kitu.

unanufaika na nini kwenye fx yetu??? unanufaika na mijongeo ya bei kati ya sarafu tofauti mbili kwenye pair pale tu bei inapobalilikaa.kumbuka mwanzo kabisa fx, ilikuwa inaitwa bets on financial markets.

so ndugu zangu kwenye fx tunaspeculate(kutabiri) the movements of price(mienendo ya price) ikitokea tumetabiri price itapanda juu.. tunabofya batani ya buy na ikipanda kweli basi tunapata faida.. na ikitokea kinyume chake tunapata loss.
probability is also a business. and not all business is investment.

jamani vipi pair ya XAUUSD mnaionaje lakini??
Swali unatumia vigezo gani kufanya speculation?
 
Natumia market structure tu kama hivi..
IMG-20220818-WA0010.jpg
 
Natumia market structure tu kama hivi..View attachment 2328916
Sasa 95% ya waliojifunza forex wanatumia njia hii ndo maana wenfi huona ni kama gambling jitahidi uielewe na fundamental halafu uwe unazicombine pamoja utaanza kuona matokeo tofauti ila vitabu vingi haviielezei fundamental in details...tafuta hii nondo "currency trading for dummies by brian dolan"
 
Sasa 95% ya waliojifunza forex wanatumia njia hii ndo maana wenfi huona ni kama gambling jitahidi uielewe na fundamental halafu uwe unazicombine pamoja utaanza kuona matokeo tofauti ila vitabu vingi haviielezei fundamental in details...tafuta hii nondo "currency trading for dummies by brian dolan"
fundamental nimesoma sanaa. fundanes a.ka. news zinaobey market strucutres..
my friend is trends
my friend is choch
my friend is BMS
my friend is HH,HL, LL,LH
the markets moves due to forces...
news only push prices fast in short period of times.. but zinafuata markets structures... if the market is uptrends we buy if down trends we sell, provided news are also respecting the trends.

news unazitumia kupata pips more for short period of times but they respecting the market structure. even the news is more volatility... you can sell more than buying with uptrends for any timeframes...

learn the market structure every will come up automatically..
tofauti na hapo hutasurvive kwa muda mrefu.. market structures inakupa uwanja mkubwa wa kuhold.. kwa muda mrefu hata weeks kadhaa , news inafeli mkuu.
hata hizo zingine kama BTMM sikushauri..
market structures ukiiva .. ni sawa na mtu kuvaa condomu kabla ya kumingilia kimwili malaya.
trading news ni kumwingilia malaya bila condomu kitakachokupata ni HIV+kaswende+kisonono+homa ya ini =kuchoma account.
huwezi tumia news kwenye volatility index, M.S can do it.
kwenye kusoma vitabu nishatoka kabisaa... niko practical tu.
nikikwambia unipe analysis ya pair kwa fundamentsl.. ili niweze kuhold week nzima utafeli najua. M.S can do.. provided na news zinhappen.

i do not your learning methology.. kama itakupa matokeo mazuri.

M.S you do analyisis during weekend days na the coming week you unapumzika jumatatu hadi ijumaa.. umehold tu.. fundamental cant do it..

unaweza kuwa unajua basics za M.S Ukajua umeiva. bado ni safari ndefu.+experience on communicating with charts bado.

hivyo vitabu vinakupa lambalamba tu.. ila ingia sokoni uone practical inavoenda.
 
iko hivi kwenye fx yetu hatununui sarafu yoyote tunanunua pair tu..
hizo batani mbili za buy or sell wamezidegin tu ili kuwezesha biashara iende.. so put in your mind hiki kitu.

unanufaika na nini kwenye fx yetu??? unanufaika na mijongeo ya bei kati ya sarafu tofauti mbili kwenye pair pale tu bei inapobalilikaa.kumbuka mwanzo kabisa fx, ilikuwa inaitwa bets on financial markets.

so ndugu zangu kwenye fx tunaspeculate(kutabiri) the movements of price(mienendo ya price) ikitokea tumetabiri price itapanda juu.. tunabofya batani ya buy na ikipanda kweli basi tunapata faida.. na ikitokea kinyume chake tunapata loss.
probability is also a business. and not all business is investment.

jamani vipi pair ya XAUUSD mnaionaje lakini??
Kwahiyo tuseme Forex na patapata zanashabihiana?
 
fundamental nimesoma sanaa. fundanes a.ka. news zinaobey market strucutres..
my friend is trends
my friend is choch
my friend is BMS
my friend is HH,HL, LL,LH
the markets moves due to forces...
news only push prices fast in short period of times.. but zinafuata markets structures... if the market is uptrends we buy if down trends we sell, provided news are also respecting the trends.

news unazitumia kupata pips more for short period of times but they respecting the market structure. even the news is more volatility... you can sell more than buying with uptrends for any timeframes...

learn the market structure every will come up automatically..
tofauti na hapo hutasurvive kwa muda mrefu.. market structures inakupa uwanja mkubwa wa kuhold.. kwa muda mrefu hata weeks kadhaa , news inafeli mkuu.
hata hizo zingine kama BTMM sikushauri..
market structures ukiiva .. ni sawa na mtu kuvaa condomu kabla ya kumingilia kimwili malaya.
trading news ni kumwingilia malaya bila condomu kitakachokupata ni HIV+kaswende+kisonono+homa ya ini =kuchoma account.
huwezi tumia news kwenye volatility index, M.S can do it.
kwenye kusoma vitabu nishatoka kabisaa... niko practical tu.
nikikwambia unipe analysis ya pair kwa fundamentsl.. ili niweze kuhold week nzima utafeli najua. M.S can do.. provided na news zinhappen.

i do not your learning methology.. kama itakupa matokeo mazuri.

M.S you do analyisis during weekend days na the coming week you unapumzika jumatatu hadi ijumaa.. umehold tu.. fundamental cant do it..

unaweza kuwa unajua basics za M.S Ukajua umeiva. bado ni safari ndefu.+experience on communicating with charts bado.

hivyo vitabu vinakupa lambalamba tu.. ila ingia sokoni uone practical inavoenda.
 
Sasa 95% ya waliojifunza forex wanatumia njia hii ndo maana wenfi huona ni kama gambling jitahidi uielewe na fundamental halafu uwe unazicombine pamoja utaanza kuona matokeo tofauti ila vitabu vingi haviielezei fundamental in details...tafuta hii nondo "currency trading for dummies by brian dolan"
we bado kabisa.. we nazania unaaply madesa ya vitabuni..
mzungu hawezi kukupa kila kila kitu vitabuni, utachapwa sanaa.
soma tu for basic knowledge.
 
football betting na forex zote ziko category moja. category ipi? predicting. both are probabilty model.
tofauti ya FX na football betting ni probabality

In fx the more unajifunza the more probability increase.. in football hakuna .
in fx ukifikia kuwa na probability ya 90% for your analysis basi wewe ni pro.. hiyo probabilty mala nyingi kushuka haiwezekani. in football betting huwezi kila week kushinda jackport ya sport pesa walai huwezi, huwezi kushinda perfect 12 ya m bet kila week walai huwezi.. so kubeti mpira probability ni volatile.. yaani leo ni 90% kesho ni 15%, kesho kutwa 12%.. in forex leo ukiwa na 10% haiwezekani kesho ukafika 90% ni ngumu sanaa, huwa inapanda polepole the more you gain experience.
so ndungu zangu probability in football betting ni volatile na probability kwenye fx ni not volatile hii ndo inawafanya watu waifanye fx as business coz the probability is linearly incearse kulinganisha na football betting probabilty is in wave form graph such as sine,cosine,tangent graph. if the probability is linearly we term it business coz leo,kesho,keshokutwa,week hii,week ijayo,mwezi huu,mwezi ujao unaweza kupata hela ya mboga.

probability model ya forex kama umeiva ni linearly ndo maana wanaiita business kama huna ujuzi na experience basi sio busness coz probability yako itakuwa bado ipo chini sanaa unless ujifunze na upate experience hadi probabilty ifike 90% hapo ndo unaweza kuacha kazi na kufanyaa fx.. tofauti na hapo utacheza kichapo cha mbwa. leo ukiwa na 12% probabilty in fx kesho ukapiga pesa ndefu yaani ukawa na 90% hapo bado huajivaa.. huwezi kurise probability na fx kwenda juu kwa masaa tu no. unaona wanlia wanapigwa wanapoteza pesa zao sanaa.. tambua tu hao bado wanatakiwa wajifunze na kupata experience kwanza kwa muda mrefu ili sasa watie mpunga wao kwenye real game... greed ndo inawatafuna. pia hata fx unaweza ukaigamble tu. ila ni vizuri now uwekeze muda wako kwenye kurise probability na matunda yatakuja baadae. tofauti na hapo hautafanikiwa.

jamani ni mawazo tu yangu msije kusema mimi ni guruz wa fx. hapana mi bado kibua tu. ila najifunza kila sekunde kuimalisha afya ya ubongo.
 
Back
Top Bottom