Sema Neno kuhusu "Biashara ya FOREX"

Binafsi niliachaga forex long time baada ya kugundua nahitaji at least 2000$ plus nidhamu ya hali ya juu Ili niwe comfortable katika trading. Hii ya kudanganyana eti 100$ unaweza ukatrade niliona ni upumbavu tu.
nenda ftmo mzee alaf fx ni maarifa plis nizam mtaji sio matter sana kama hmna nidham na sbra
 
Kitu ambacho nimejifunza kuusu biashara hii imejaa matapeli wengi Sana alafu c ya uwakika kingine asala ni nyingi kuliko faida ndomana matajir na wafanyabiasha wakubwa siwasikii kufanya hii biashara maanayake ukuna ukwer kwenye hii biashara nakusii kijana mwenzangu njoo tulime mpunga alizet ngano maindi mbogamboga ufugaji nk. Uku ndipo kwenye matajir na na ndokwenye pesa nyingi Aya Mambo ya forex tuwaachie wazungu sisi tuna aridh ya kutosha
 
Kuckia kwa kenge nikupiga mpk masikio yatoe damu.
 

forex will make futures millionaires if patient is with you
 

ulichoongea ni zaidi ya ukweli but i can assure you that you can still make money out of it, japokua umesema ukweli mweupe bila kupepesha maneno
 
weekend imeanza
 

Attachments

  • GBPJPY_2022-09-17_13-39-12.png
    19 KB · Views: 14
Km niivo Bro watu wasitumie plan B ,,bhc Leo Tanzania tungekuwa tunaunda ngege tezu, magar, simu pia tungeunda pi mpk mashine za kushonea nguo ingefaa sana kuund sisi wenyewe isingekua na maana tuende china kubuy basic need,, km ni muhimu kuwa socialism bhn Ata wa signal pia anahaki kuwa connected with other in order to maintain life
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…