Uchaguzi 2020 Sema neno moja tu kwa NEC kabla ya kufika 25/08/2020

Uchaguzi 2020 Sema neno moja tu kwa NEC kabla ya kufika 25/08/2020

Magufuli punguza uoga lissu ni threat lakini uoaga wako utakufanya upate kura chache mtagawana na lipumba pia ukilazimisha kumuengua lissu utaonekana kichekesho na utaishia kupinduliwa tu kama gadafi tenda haki hii nchi sio yakwako niyetu site shame on you.
CCM kumbe ni wepesi hivyo hiiiiii ; yaani Lissu kawachanganya kabisa vagosha hiiiiiiii

Yaani mnachekesha sana ...kumbe ni waoga hivyo hiiiiiiii
 
BTW Tanzania ni nchi ya Amani na Itabaki kuwa na Amani milele na milele... uchaguzi utafanyika na maisha yataendelea kama kawaida... msisitizo "yataendelea kama kawaida"
 
Back
Top Bottom