Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
AmenHaki huinua taifa...nawasii watende haki hapo kesho katika kupitisha majina ya wagombea urais ili kuweza kuilinda amani ya taifa hili.
CCM kumbe ni wepesi hivyo hiiiiii ; yaani Lissu kawachanganya kabisa vagosha hiiiiiiiiMagufuli punguza uoga lissu ni threat lakini uoaga wako utakufanya upate kura chache mtagawana na lipumba pia ukilazimisha kumuengua lissu utaonekana kichekesho na utaishia kupinduliwa tu kama gadafi tenda haki hii nchi sio yakwako niyetu site shame on you.
AmenHaki Itendeke, Na Ionekane Imetendeka Hadharani
Hapana, ni Neno kwa NECRest in peace ccm
Tume wako vizuri wasiruhusu ccm kuwaingilia na kuwapangiaOnyesha uzalendo wako halisi, sema Neno kwa Tume ya Uchaguzi kabla ya kutoa majina kesho. Jitahidi comment iwe ya staha, karibu
AmenFIKIRI KABLA YA KUTENDA
Wamtangaze JPM hata bila ya kuhesabu kura.Onyesha uzalendo wako halisi, sema Neno kwa Tume ya Uchaguzi kabla ya kutoa majina kesho. Jitahidi comment iwe ya staha, karibu