Tunahitaji amani dumisheni haki nyie NEC mtawajibika binafsi kwa kila kosaOnyesha uzalendo wako halisi, sema Neno kwa Tume ya Uchaguzi kabla ya kutoa majina kesho. Jitahidi comment iwe ya staha, karibu
AmenHaki ni Tunda la Amani- tendeni haki kwa wagombea wote - chonde chonde
AiseeeeWamtangaze JPM hata bila ya kuhesabu kura.
Kama watahesabu. Lissu awe ameenguliwa.Aiseeee
Hawana tofauti na majambazi yanayo pora watu halali zao kwani na wao wanapora haki za wananchi kwa maisha yao. Majambazi yanastahili KIFO kwa nini isiwe na wao?Onyesha uzalendo wako halisi, sema Neno kwa Tume ya Uchaguzi kabla ya kutoa majina kesho. Jitahidi comment iwe ya staha, karibu
Ohoooo yamekua hayo tena??Waache kutumika na Magufuli tutaingia barabarani mpaka kieleweke kama watajaribu kumkata Lissu
Rudisheni jina la TAL.....wallah hapatakalika hapaOnesha uzalendo wako halisi, sema Neno kwa Tume ya Uchaguzi kabla ya kutoa majina kesho. Jitahidi comment iwe ya staha, karibu
Onesha uzalendo wako halisi, sema Neno kwa Tume ya Uchaguzi kabla ya kutoa majina kesho. Jitahidi comment iwe ya staha, karibu