Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mimi hata kama sina gari ila nime appreciate mzee. Halafu labda nikuweke sawa mie nina mke mkuu i'm a man. Ishu ni kuwa positive in whatever comes infront of you. Sio ku reduce value ya vitu ambavyo wanaume wenzio wanamiliki. Haipendezi kama huna la kuongea kukaa kimya ni option nzuri zaidi.mkuu usiwe standby kushambulia kama dondora.
kwani wewe unayesifia umefanikiwa kumiliki gari gani??hii jf isifanye tukawa wapuuzi kuna maisha nje yake.
mchango wangu haukurenga kukukwaza wewe wala mme wako,bali kumsifu soma kwa utulivu.