Internal
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 3,579
- 3,919
Nilichogundua humu ndani jf watu wapo tayari kueleza hisia zao na changamoto zao zinazowasibu bila kuficha hata neno moja kuliko kumueleza ndugu, jamaa au rafiki wa karibu.
Zipo baadhi ya nyuzi humu ukisoma kwa kutulia utaelewa tu kuwa haya maneno au ujumbe sio rahisi mtu kukaa chini na mpendwa wake wanaojuana na kuanza kumsimulia maana unaambatana na private nyingi sana za mtu binfsi.
Ujasiri huu nimeuona tu JF na sio FB wa WhatsApp.
Ikiwa na wewe kuna kitu umejifunza tueleze.
Zipo baadhi ya nyuzi humu ukisoma kwa kutulia utaelewa tu kuwa haya maneno au ujumbe sio rahisi mtu kukaa chini na mpendwa wake wanaojuana na kuanza kumsimulia maana unaambatana na private nyingi sana za mtu binfsi.
Ujasiri huu nimeuona tu JF na sio FB wa WhatsApp.
Ikiwa na wewe kuna kitu umejifunza tueleze.