Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Unapoweka taarifa kama hii, weka na picha au voice clip. Kinyume cha hapo ni UZUSHIKocha Talib Hilal amekaririwa na redio moja nchini akisema jana kuwa kocha mpya anayetarajiwa kuingia kandarasi na Simba Faldu David's hana uwezo na hawezi kuifikisha popote pale Simba.
Talib defender wa zamani wa Simba na baadae akawa kocha anasema recodi ya kocha huyo mpya ya mechi 12 kashinda mechi 2 tu ni rekodi mbaya sana kwa kocha ambaye anakwenda kufundisha timu yenye kiu ya mafanikio.
"Sijui viongozi wa Simba wameangalia nini lakini to me naona uwezo wake ni kawaida sana." Mwisho wa kunukuuu.
Asante sana Talib Hilal kwa kuwaambia ukweli hao wageni wa mpira na walioanza kupoteana kabla ya msimu haujaanza.
Thiiimbaaaa 5imba Guvu Moya.Kocha Talib Hilal amekaririwa na redio moja nchini akisema jana kuwa kocha mpya anayetarajiwa kuingia kandarasi na Simba Faldu David's hana uwezo na hawezi kuifikisha popote pale Simba.
Talib defender wa zamani wa Simba na baadae akawa kocha anasema recodi ya kocha huyo mpya ya mechi 12 kashinda mechi 2 tu ni rekodi mbaya sana kwa kocha ambaye anakwenda kufundisha timu yenye kiu ya mafanikio.
"Sijui viongozi wa Simba wameangalia nini lakini to me naona uwezo wake ni kawaida sana." Mwisho wa kunukuuu.
Asante sana Talib Hilal kwa kuwaambia ukweli hao wageni wa mpira na walioanza kupoteana kabla ya msimu haujaanza.
Huyu mlugaluga naye anajiropokea tuUnapoweka taarifa kama hii, weka na picha au voice clip. Kinyume cha hapo ni UZUSHI
Hunaga jema na SimbaKocha Talib Hilal amekaririwa na redio moja nchini akisema jana kuwa kocha mpya anayetarajiwa kuingia kandarasi na Simba Faldu David's hana uwezo na hawezi kuifikisha popote pale Simba.
Talib defender wa zamani wa Simba na baadae akawa kocha anasema recodi ya kocha huyo mpya ya mechi 12 kashinda mechi 2 tu ni rekodi mbaya sana kwa kocha ambaye anakwenda kufundisha timu yenye kiu ya mafanikio.
"Sijui viongozi wa Simba wameangalia nini lakini to me naona uwezo wake ni kawaida sana." Mwisho wa kunukuuu.
Asante sana Talib Hilal kwa kuwaambia ukweli hao wageni wa mpira na walioanza kupoteana kabla ya msimu haujaanza.
Time will tell.
Mwambie amlete morinyo basi, au klopKocha Talib Hilal amekaririwa na redio moja nchini akisema jana kuwa kocha mpya anayetarajiwa kuingia kandarasi na Simba Faldu David's hana uwezo na hawezi kuifikisha popote pale Simba.
Talib defender wa zamani wa Simba na baadae akawa kocha anasema recodi ya kocha huyo mpya ya mechi 12 kashinda mechi 2 tu ni rekodi mbaya sana kwa kocha ambaye anakwenda kufundisha timu yenye kiu ya mafanikio.
"Sijui viongozi wa Simba wameangalia nini lakini to me naona uwezo wake ni kawaida sana." Mwisho wa kunukuuu.
Asante sana Talib Hilal kwa kuwaambia ukweli hao wageni wa mpira na walioanza kupoteana kabla ya msimu haujaanza.
Watu wana nongwa sana tabia za namna hiyo wanakuwaga nazo wazee wa zamani,Mwambie amlete morinyo basi, au klop
Mashabiki wa bingo uvumilivu wa kumpa muda kocha wanao? au umesahau bongo kila shabiki kocha.Mkuu Wacha tumpe muda, kumbuka alikotoka hakua na kikosi hiki pengine kikosi ndio kilichomkwamisha.
mbona hata yeye talib hilal hana mafanikio yoyote ya ukocha huko aliko? kocha ni ku gamble tu kama kwa wachezajiKocha Talib Hilal amekaririwa na redio moja nchini akisema jana kuwa kocha mpya anayetarajiwa kuingia kandarasi na Simba Faldu David's hana uwezo na hawezi kuifikisha popote pale Simba.
Talib defender wa zamani wa Simba na baadae akawa kocha anasema recodi ya kocha huyo mpya ya mechi 12 kashinda mechi 2 tu ni rekodi mbaya sana kwa kocha ambaye anakwenda kufundisha timu yenye kiu ya mafanikio.
"Sijui viongozi wa Simba wameangalia nini lakini to me naona uwezo wake ni kawaida sana." Mwisho wa kunukuuu.
Asante sana Talib Hilal kwa kuwaambia ukweli hao wageni wa mpira na walioanza kupoteana kabla ya msimu haujaanza.
Imekula kwao mazimaaa