Semeni Kabisa Kuhusu Bravos : Msisubiri Abatuliwe Muanze Kusema 'Bomu Mochware'

Semeni Kabisa Kuhusu Bravos : Msisubiri Abatuliwe Muanze Kusema 'Bomu Mochware'

Nimesikitishwa Sana Kusikia eti Simba imeifunga timu ya Madrasa huko Tunisia CS Sfaxien...! Hawa jamaa ni Mabingwa mara nne wa michuano ya CAF miaka ya karibuni.

Hawa wanaosema hivyo, ndo Wale wale Waliosema mmenunua Ugomvi na watunisia mkienda kwao Kisasi kinawahusu.

Sasa toeni Kauli moja...Bravo anajiweza ama La , ili Watu wajue Wanampasua mtu wa namna gani.Kupasuka Lazima apasuke.!
Eti miaka ya hivi karibuni...!! Nyie si ndo mlisema Mazembe hiii si ileeee..!!! Ile timu fasheni haina pointi hata moja na inashika mkia si wapo tu mochware wale..!!
 
Hakuna timu itayoweza kufuzu bila kikokotoo, hapo nyie mnaposema mnahitaji point mooja ili mfuzu mmetumia nini zaidi ya kikokotoo? Waliokata tiketi hadi sasa ndio pekee hawaangaiki na kikokotoo kwasasa
Unabishana na ali komwe?
 

Attachments

  • SWAHILI WAVE - Maneno haya sio mageni jijini ___Daressalaam _Zuchu __Tanzania _SUMU__Shu _ShuC...mp4
    750.4 KB
Robo tayari, kimahesabu ukikusanya points 9 makundi Watake Wasitake Robo ushafika wewe kukusimamisha ni Robo
Robo tayari, kimahesabu ukikusanya points 9 makundi Watake Wasitake Robo ushafika wewe kukusimamisha ni Robo
Kimahesabu ni sawa lakini kumbuka mpira unadunda unaweza ukakwamia kwenye pointi 9,Enzo Bravo ana alama 6 akikupiga jumapili unabaki na alama zako 9,game ya mwisho hiyo ni hesabu nyingine na itategemea na matokeo ya waarabu yatakavyokuwa
 
Kuna watu wanafuatilia hiyo Ligi ya shirikisho?? Hao Bravos sijui Fu*kshien wanacheza Ligi daraja la ngapi huko?
 
Hilo kombe la mchangani ndilo lililowafanya mkavaa shanga shingoni mnazotamba nazo kila siku. Huko CAFCL Simba ni nyumbani labda nyie wageni wa hayo mashindano ndio mnaona kitu cha ajabu Sana.
Umepiga kwenye bandama akicheka nistue tumchomoe koromeo
 
Simba njia ni nyeupe. Akishindwa ni ujinga wake mwenyewe
 
Hilo kombe la mchangani ndilo lililowafanya mkavaa shanga shingoni mnazotamba nazo kila siku. Huko CAFCL Simba ni nyumbani labda nyie wageni wa hayo mashindano ndio mnaona kitu cha ajabu Sana.
Eti nyumbani halafu hauwezi ingia kucheza na yeyote huko unakokuita nyumbani..!! We endelea na kombe la wamama..!!
 
Back
Top Bottom