Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Mungu hadi ujue jukumu za watu...acha ukudahuyu jamaa anahukumu kubwa kwa Mungu..hataki kufundisha kweli ya MUNGU.Anafundisha ya Mapokeo ya wanadamu.
2thetholonike2;7-11
Wewe sina jibu la kukupa kwa sasa ila nakuweka kwenye kundi la wasioelewa hata kile wanachohisi wanakielewa......"peoples with little knowledge"
Wewe kuna asubuhi gani kwako?Huyo naye ni walewale tu hakuna asubuhi kwake
Huo ulioandika ndiyo unabii wako wa uongo.Nabii wa uongo wa kimyakimya. Japo wengi hawajui, ili litimie lile katika Luka13:23
Acha ujinga.Wewe sina jibu la kukupa kwa sasa ila nakuweka kwenye kundi la wasioelewa hata kile wanachohisi wanakielewa......"peoples with little knowledge"
Naona jibu hilo limekutosha kabisa.
kivipi mkuu..huyu jamaa anahukumu kubwa kwa Mungu..hataki kufundisha kweli ya MUNGU.Anafundisha ya Mapokeo ya wanadamu.
2thetholonike2;7-11
Unataka afanye ushirikina wa kuuza mafuta? na chupi zenye picha kama wale jamaa zenu?
Sent using Jamii Forums mobile app
We jamaa THE BREED una chuki binafsi na huyu mpakwa mafuta, naona unamuandama sana itakua mafundisho yake yanakuchoma sana!!
We islamic soldier achana na mambo yasiyokuhusu utalishwa kitimoto bure bila kupendahuyu jamaa anahukumu kubwa kwa Mungu..hataki kufundisha kweli ya MUNGU.Anafundisha ya Mapokeo ya wanadamu.
2thetholonike2;7-11
Wewe ni mpuuzi sanaJamii forums imevamiwa na matakataka siku hizi yaani hilo jamaa sijui ni li ajenti la ibilisi??[emoji34][emoji34]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Mimi sihitaji kukupinga; Inategemea na ukomavu wa mtu kwenye Understanding ya Neno, Changamoto ya watu wengi, hawajaweka effort binafsi kwenye kusoma Neno.Mwl. Uwezi kumfananisha na vitu vya ajabu binafsi nasema Dunian sio tanzania hakuna km yeye sikiliza utajua sio kuleta ubishi wa kahawa ujawahi kunsikiliza na km umemsikiluza ujaelewa ujue autakaa uelewe.
Mkuu, kwani kuna aliyekuzuia kufundisha kweli ya Mungu?huyu jamaa anahukumu kubwa kwa Mungu..hataki kufundisha kweli ya MUNGU.Anafundisha ya Mapokeo ya wanadamu.
2thetholonike2;7-11