Seminari Kipalala wavamiwa - in progress!!

Seminari Kipalala wavamiwa - in progress!!

Mzee Mwanakijiji

Platinum Member
Joined
Mar 10, 2006
Posts
33,771
Reaction score
41,027
Habari zinaingia kutaarifu kuwa seminari kuu ya Kipalala mkoani Tabora saa hii wamevamiwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi na tukio linaendelea wakati vikosi vya Polisi vinaelekea huko. Uvamizi huo umetokea muda mfupi uliopita na mmoja wa mapadre ambaye amejificha mahali amefanikiwa kutuma ujumbe wa SOS kutaarifu juu ya uvamizi huo.

Situation is still fluid and resources za JF/KLHN zina monitoring the situation..!! Hadi hivi sasa hatujui madhara au uharibifu uliofanyika.
 
Labda ana maanisha Alqaida

nafahamu hilo sijaelewa kwanini imetajwa kwenye uvamizi wa seminari ya Kipalapala.. labda ningetaja iliyovamiwa ni Shule ya Sekondari ya Tabora Boys labda Al-qaida isingetajwa? LOL
 
Habari zinaingia kutaarifu kuwa seminari kuu ya Kipalala mkoani Tabora saa hii wamevamiwa na watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi na tukio linaendelea wakati vikosi vya Polisi vinaelekea huko. Uvamizi huo umetokea muda mfupi uliopita na mmoja wa mapadre ambaye amejificha mahali amefanikiwa kutuma ujumbe wa SOS kutaarifu juu ya uvamizi huo.

Situation is still fluid and resources za JF/KLHN zina monitoring the situation..!! Hadi hivi sasa hatujui madhara au uharibifu uliofanyika.

Ahsante sana kwa taarifa hii, wameamua kuvamia saa tano za usiku. I hope hao majambazi watanaswa na hawatafanikiwa kutimiza dhamira yao ya kutenda unyama.
 
Yawezekana Majambazi uchwara tu..may be njaa na shida nyingi mno Tabora!

Alqueda hapo hakuna US interest!
 
Nadhani ni majambaza 'wa kawaida' tu....poleni sana wana kipala pala...masikini mafrateri walikuwa wamshatoka kwenye masifu na wapo kwenye 'mandatory sleeping'...
 
Yawezekana Majambazi uchwara tu..may be njaa na shida nyingi mno Tabora!

Alqueda hapo hakuna US interest!

Umejuaje? Wee wtoka huku? Nafikiri ukweli utajulikana soon.
Pole Mapadre wetu wa Kipalapala.
 
nafahamu hilo sijaelewa kwanini imetajwa kwenye uvamizi wa seminari ya Kipalapala.. labda ningetaja iliyovamiwa ni Shule ya Sekondari ya Tabora Boys labda Al-qaida isingetajwa? LOL

Hata hivyo isingetajwa. Nje ya Afdhanistan, adui wa Alqaida ni Mmarekani, Serikali ya Pakistan na nchi za mgaharibi zilizosaidia mashambulizi ya Afghanistan na Iraq. Alqaida haina ugomvi wa wazi na makanisa kwa kiasi ninachojua mimi.

Inaonyesha hawa ni majambazi ya kawaida ambayo hayamuogopi Mungu.
 
Duh, Ama kweli Aqaeda wako Bongo! Lol!

Sasa hapo cha kukufanya ku ``laugh out loud`` ni nini?

Habari za majambazi we unacheka, sijui ni kwa sababu huwa unasema uko Canada, ya Tanzania, hayakugusi?
 
Hata hivyo isingetajwa. Nje ya Afdhanistan, adui wa Alqaida ni Mmarekani, Serikali ya Pakistan na nchi za mgaharibi zilizosaidia mashambulizi ya Afghanistan na Iraq. Alqaida haina ugomvi wa wazi na makanisa kwa kiasi ninachojua mimi.

Inaonyesha hawa ni majambazi ya kawaida ambayo hayamuogopi Mungu.

Sehemu palipo na njaa hakuna ustaarabu
 
Mzee Mwankijij,
Unajua mkuu hapa JF taabu kweli kweli kufahamu lugha za mtaani..wazitokweli nyie na sijui inatokana na kujishtukia sana au vipi?..
Sasa ikiwa Alqaeda haina mazuri wala sifa zaidi ya Magaidi, washenzi na kadhalika hawa jamaa waliovamia hiyo shule tutawaita kina nani..Au mkapa ijulikane ni dini gani!..
Jamani mbona kiharusi kinawashika mapema! au nalo utaniuliza kiharusi una maana gani..utani tu bob - damn!
 
Nyani Ngabu,
najua mkuu wangu mijitu mingine hununa hata Kitandani!
 
Nyani Ngabu,
najua mkuu wangu mijitu mingine hununa hata Kitandani!

This one will be the quote of the month!! Nilikuwa nimenuna (siyo kitandani!..) sasa nacheka LOL Unajua wakati mwingine jokes si wote wanazipata mara moja (ndio maana nilisema nimetoka kapa..) hadi ulivyofafanua!
 
Back
Top Bottom