fatma ana kishape flani hivi cha kichokozi 😍send off kali sana.
33 People Invited Only🙌🏾 na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii🤣🤣 maana hakuna siti ya ziada.
1 - Hakuna kusumbua watu michango
2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati
3 - Hakuna madeni.
this show her mental health stability ipo juu sana.
View attachment 3255993
Watu wengi wa nini msibani, watamfufua???Akifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.
Unajifanya hujui umuhimu wa kusaidiana kwenye raha na shida.Watu wengi wa nini msibani, watamfufua???
Sasa hao 30 kwani hawatoshi kumzika? Au mpaka kijiji kizima kialikwe?Unajifanya hujui umuhimu wa kusaidiana kwenye raha na shida.
Sasa hao 30 kwani hawatoshi kumzika? Au mpaka kijiji kizima kialikwe?
Unajifanya hujui umuhimu wa kusaidiana kwenye raha na shida.
Msiba hauhitaji watu hata Halmashauri zina jukumu la kuzika. Misiba imegeuzwa vijiwe vya umbea na unakuta mtu hamfahamu hata marehemu lakini kazungukia msibani wiki nzima.Akifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.
Jambo la ndoa na msiba ni swala la kifamilia hata zamani ilikuwa hivyo. Siyo mbwembwe kwa sababu hakuna hata mahali watanzania walivyo hodari wa kuiga,wameigaHizi send off sijui zimetokea wapi, jambo la ndoa ilibidi liwe jambo jepesi lakini tunalifanyia mbwembwe kibao.
Hapa sijaelewa inaonekana huyu dada amebadili dini kutoka Uislam kwenda Uikristo coz jina Fatuma ni majina ya Middle East lakini Sendoff ni Culture za West………….Kama kabadili Sawa,ata Mimi nipo njiani kubadili kuwa Muikristo tu maana haya maisha bila Yesu nimeona ni kupoteza muda tusend off kali sana.
33 People Invited Only🙌🏾 na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii🤣🤣 maana hakuna siti ya ziada.
1 - Hakuna kusumbua watu michango
2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati
3 - Hakuna madeni.
this show her mental health stability ipo juu sana.
View attachment 3255993
Sawa, ila ifanyike bila kutembeza bakuli la mchango.Tusiige mambo ya Wazungu, wao hufanya hivyo kwani kule watu hawana time na pia hakuna cha mambo ya shangazi, mjomba, jirani, nk, huku kwetu extended familu ipo na kuna watu wengi tu watakuwa wanajiona wametengwa.
Kwani msiba una mualiko?we kama huendi kisa pilau ulikosa kimpango wakoAkifiwa au akifa ategemee watu 33 tu msibani.