Send off nzuri sana imefanyika ya binti anayejielewa kutoka familia inayojitambua. Hakuna kusumbua watu Michango

Send off nzuri sana imefanyika ya binti anayejielewa kutoka familia inayojitambua. Hakuna kusumbua watu Michango

Hawa wasukuma Safi wameanza kupata akili
 
Fanya ambacho kipo ndani ya uwezo wako hakuna haja ya kujiumiza au kusumbua watu na habari za michango
Hayo mambo ya kualika watu 20 tu kwenye sendoff ni ya wazungu na ni sawa huko kwao, hapa kwetu sio. Bado kidogo mtaiga kwa wazungu na ushoga halafu mtalalamika vijana wa cku hizi wamekuwa na mambo ya kizungu.
 
Hayo mambo ya kualika watu 20 tu kwenye sendoff ni ya wazungu na ni sawa huko kwao, hapa kwetu sio. Bado kidogo mtaiga kwa wazungu na ushoga halafu mtalalamika vijana wa cku hizi wamekuwa na mambo ya kizungu.
Tukiiga mazuri yao sio lazima tuige na mabaya yao. Fanya sherehe ambayo uwezo wako unaruhusu sio ujinga wa kusumbuana na masuala ya michango
 
send off kali sana.

33 People Invited Only na majina ya waalikwa yamebandikwa kabisa, No hekahekaa! Hapa hakuna cha kuzamia sherehe kama jina lako hamna huingii maana hakuna siti ya ziada.

1 - Hakuna kusumbua watu michango

2- Hakuna kupotezea watu muda wao na vikao vingi vya Kamati

3 - Hakuna madeni.

this show her mental health stability ipo juu sana.

View attachment 3255993
Safi sana. Hii ndiyo inatakiwa na siyo ile ya kujaza ukumbi mzima midada iliyobandika mi-kope ya macho mirefu kama sharubu za paka shume.
 
Hayo mambo ya kualika watu 20 tu kwenye sendoff ni ya wazungu na ni sawa huko kwao, hapa kwetu sio. Bado kidogo mtaiga kwa wazungu na ushoga halafu mtalalamika vijana wa cku hizi wamekuwa na mambo ya kizungu.
Halafu mbona nyie huu ushoga mnapenda sana kusingizia wazungu wakati nyie ndio mmebobea tena kwa uwazi kabisa?
Siku hizi (hata ndoa ya Aziz Kitumeona) mashoga yaani wasenge wanapewa kipaumbele kukatika hadharani huku wanapewa zawadi lukuki!
Jifunzeni ukweli
 
Halafu mbona nyie huu ushoga mnapenda sana kusingizia wazungu wakati nyie ndio mmebobea tena kwa uwazi kabisa?
Siku hizi (hata ndoa ya Aziz Kitumeona) mashoga yaani wasenge wanapewa kipaumbele kukatika hadharani huku wanapewa zawadi lukuki!
Jifunzeni ukweli
Kwenu ni wapi huko mnafanya ushoga mwingi kiasi hicho?
 
Halafu mbona nyie huu ushoga mnapenda sana kusingizia wazungu wakati nyie ndio mmebobea tena kwa uwazi kabisa?
Siku hizi (hata ndoa ya Aziz Kitumeona) mashoga yaani wasenge wanapewa kipaumbele kukatika hadharani huku wanapewa zawadi lukuki!
Jifunzeni ukweli
Ukiongelea zuri lolote la wazungu kama hawalitaki badala ya kupinga kwa hoja wanakimbilia kwenye point ya ushoga. Hivi tukigeza mazuri yao ni lazima tugeze na mabaya pia? Kama maisha ya wazungu hawana mambo ya kusumbuana na michango wanafanya tafrija ambayo mfuko unaruhusu mbona ilo ni jambo jema. Hivi tukisema na sisi tufanye hivyo maana yake ni lazima tuupitishe na ushoga pia? Imefika hatua nimeanza kudharau thinking capacity za watu wanaoleta hoja ya ushoga kwenye masuala ambayo hata hayahusiano na masuala ya huo ushoga
 
Yangu itakuwa na watu kidogo sana pengine hata nisiwepo
 
Back
Top Bottom