NYANKRUBIKE
Member
- Apr 23, 2012
- 9
- 0
Yap afanye hivyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu makonda ni public figure lazima public ijiridhishe kwamba kiongozi wao hana makando kando msilete usanii kwenye hili toa vyeti win your trust backKuna tofauti kubwa kati ya Sonko na Makonda
Makonda hawezi Onyesha vyeti kwa sababu yeye siyo Mwanasiasa, Mtumishi aombwi vyeti na watu tu alafu na yeye akaonyesha
Mtumishi anaombwa vyeti na boss wake ambaye ni mwajili wake na siyo tu mtu kuandika Facebook au Jamii Forum kuomba vyeti vya mtu akatoa na kuweka kwenye media
Narudia Makonda siyo mwanasiasa ndio maana hawezi onyesha vyeti vyake huu ni mtego mkubwa sana kwake akiyumba akatoa vyeti hadharani basi anafutwa ukuu wa mkoa na mwajili wake
Huyo ni mpuuzi we acha tuHivi wewe kichwa kimeruka???
Tulipofikia sasa bora Bashite akubali yaishe,tunakoenda atazidi kudhalilika.
Sheria zetu haziruhusu kuonyesha vyeti hadharani.
Kumbe wanamuhonga magariMengine yapi jamani