Senetor wa jiji la Nairobi, Mike Sonko amwaga vyeti vyake mezani watu wa media wavione

Senetor wa jiji la Nairobi, Mike Sonko amwaga vyeti vyake mezani watu wa media wavione

Kuna tofauti kubwa kati ya Sonko na Makonda

Makonda hawezi Onyesha vyeti kwa sababu yeye siyo Mwanasiasa, Mtumishi aombwi vyeti na watu tu alafu na yeye akaonyesha

Mtumishi anaombwa vyeti na boss wake ambaye ni mwajili wake na siyo tu mtu kuandika Facebook au Jamii Forum kuomba vyeti vya mtu akatoa na kuweka kwenye media

Narudia Makonda siyo mwanasiasa ndio maana hawezi onyesha vyeti vyake huu ni mtego mkubwa sana kwake akiyumba akatoa vyeti hadharani basi anafutwa ukuu wa mkoa na mwajili wake
utakuta na ww una mke na watoto alafu hujui mwanasiasa ni nani hovyo kabisa, kwahyo unadhan bashite pale ameajiriwa kwa taaluma yake au?
 
Mbona upo nje ya mada.
(Completely opp)
Na bado atazidi kuwanyoosha

Na wafanyakazi wa TRA wanaouza documents za watu nao wanalo, ICT itawanasa.

Kweli wa madawa ya kulevya mpo wengi, now sio vyeti bali mengine ha ha haaaaaaaaaaaaaa

Makonda oyeeeeeee
 
Daud Bashite hawezi kuonyesha vyeti kwa sababu hana vyeti anavyotumia ni vya Paul Makonda, watu wanasubiri ajichanganye tu mwenye vyeti aibuliwe.

mkuu naona unaongea panaposumbua great thinker

muuza cheti yuko wapi?
 
Xtremely simple! Onyesha vyeti.! Hivi hapa
Mkuu tusaidie basi hata kwa ramli tuone itasemaje kama anavyo au hana tushachoka kumbembeleza tuna mengi ya kufanya kuifikia tz ya viwanda embu tikisa tikisa vibuyu vyako tujue anasingiziwa ama
 
Na bado atazidi kuwanyoosha

Na wafanyakazi wa TRA wanaouza documents za watu nao wanalo, ICT itawanasa.

Kweli wa madawa ya kulevya mpo wengi, now sio vyeti bali mengine ha ha haaaaaaaaaaaaaa

Makonda oyeeeeeee
Wewe dada,, TRA wanahusika na vyeti vya shule? Utakuwa kagonjwa ka akili wewe!
 
Mgombea ugavana jijin Nairobi (half-London of Africa)Michael Sonko Imemlazimu kuonesha vyeti vyake vya kitaaluma kuanzia elimu ya upili mpaka chuo kikuu baada ya kutuhumiwa amegushi vyeti vyake.

Tuhuma hizo zilizozuka siku za karibuni kipindi cha kampeni za uchaguzi mkuu wa Kenya na wapinzan wake kuwa Sonko anatumiia vyeti visivyo halal na kitendo hcho kinatafisiliwa km ukiukwaji wa sheria za uchi na kosa la jinai.

Kwa mfano bora alionesha Sonko pia 2napenda kumshawishi mbabe wa vita mkuu wa mkoa mwenye ushawishi kuliko wote aliyetimiza mwaka m1 wa utumishi uliotukuka,mbunifu,mleta dar mpya aige mfano kutoka kwa Sonko.

Na hapo chini ni attachment vyeti anuai vya Sonko vilivyo fanyiwa uchunguz na idara husika....Zamu yako sasa Watanzania Tunakusubiria Bro.

2e5df633853f8abcc9a360dfb1c6c0e8.jpg
0e58f1d265353d4010447adf288663c0.jpg
9f2281a69f5b09a359a72fd0d0ecba1f.jpg
f3edfc6a49426b131fad21efa323b3e3.jpg
a56d6fb6fb85ce52704495d0727defa2.jpg
.....
97533616ba49cee917b9cbb9443ec81e.jpg
HAMIA KENYA BASI !
 
Na bado atazidi kuwanyoosha

Na wafanyakazi wa TRA wanaouza documents za watu nao wanalo, ICT itawanasa.

Kweli wa madawa ya kulevya mpo wengi, now sio vyeti bali mengine ha ha haaaaaaaaaaaaaa

Makonda oyeeeeeee
Utakuwa hauko sober
 
Mimi hili suala lifikie mwisho......ingekuwa vyema wanaorusha tuhuma waende mahakamani......nadhani huko ndiko mheshimiwa makonda atakapoumbuliwa kwa mujibu wa sheria.......kwa kuwa inatambulika kuwa kughushia vyeti vya kitaaluma ni kosa kisheria na lina adhabu zake kwa mujibu wa sheria........
 
Ataweka vyeti gani wakati vyeti hana, hapo mnamuonea ngoja nimtetee

Hivi kwanini hili suala wenye ushahidi wasilipeleke mahakamani.....kwani si ina fahamika kuwa hili suala lina adhabu yake kwa mujibu wa sheria.....

Tumechoka kusikia ngonjera za hili sakata......

Ningependa kumuona Makonda akiumbuka mahakamani......
 
Hehehe!! Wakenya hii mada tusikurupuke, hawa Wabongo wameileta kimkakati maana wanamchokoza mkuu wao wa mkoa, siku hizi wanamuita Bashite. Wamekua wakimwomba aonyeshe stakabadhi zake baada ya mhubiri fulani kumtuhumu kwamba alighushi vyeti na kuiba jina la mtu.

Ndugu....nadhani hakuna viumbe wa ajabu kama kama Watanzania......na ndio mtaji wa wanasiasa....kwa kuwa wanasiasa wameshajua kuwa wanaongozwa na mihemko na hisia kuliko uhalisia.........

Ndio maana mpaka leo CCM ipo madarakani hali ya kuwa kila mwaka inashindwa kutekeleza kile wanacho kiahidi......

Hili suala la stakabadhi za huyu bwana liko wazi kabisa.....mimi nadhani hao wanaomtuhumu kuwa ameghushi vyeti na wana ushahidi kwanini huyo mtu aliyefanyiwa hivyo asilipeleke hili suala mahakamani kwenda kupata haki yake....!!? Kwanini limefanywa kuwa mtaji wa wanasiasa....!!??

Je tuamini kuwa wanamsingizia....!!?? Au wanamchafulia jina.....!???

Kughushi vyeti ni kosa kwa mujibu wa sheria....na adhabu zake zipo kwa mujibu wa sheria.......sasa hili suala lisimalizwe....!!??
 
Mimi hili suala lifikie mwisho......ingekuwa vyema wanaorusha tuhuma waende mahakamani......nadhani huko ndiko mheshimiwa makonda atakapoumbuliwa kwa mujibu wa sheria.......kwa kuwa inatambulika kuwa kughushia vyeti vya kitaaluma ni kosa kisheria na lina adhabu zake kwa mujibu wa sheria........
Jumanne
 
Back
Top Bottom