Sensa 2022: Inakuwaje baadhi ya shule zinataka kubakiza shuleni Wanafunzi wenye mitihani ya Taifa?

Sensa 2022: Inakuwaje baadhi ya shule zinataka kubakiza shuleni Wanafunzi wenye mitihani ya Taifa?

Kumkaririsha
Siyo kumkaririsha Kuna vitu unatakiwa ujue Katika kusoma
1. Kufundisha Kuna ujuzi wake na kutunga maswali Kuna ujuzi wake

Tunaposema mwanàfunzi asolve past paper lengo ajijengee uwezo wa kuyajua maswali yanavyotungwa kutoka katika mada alizosoma, hii humfanya kuzoea mitihani na kujubu kwa ufasaha zaidi maswali na kufanya ajue asome nini

Na ndio maaana Kuna watu wanaelewa saña masomo darasani na wanajibu maswali vizuri mwalimu akiwa anafundisha ila ukimpa mtihani anaferi kwa sababu gani hana ujuzi wa kutambua maswali yapoje na yanajibiwaje
 
Na wa mikoani ambao hawana computer hata wapo wa dar wasio na uwezo huo. Hapo vipi?
Usipende kutafuta ugumu wa jambo kwa Kila jambo, Dunia haipo hivyo badilisha mtazamo wako katika kutatua changamoto zinazokukabili kuwa chanya mda wote usiwe hasi
 
Sensa ingefanyika mwezi.wa sita wakati shule zimefungwa kusingekuwa na matatizo yooote hayo. Ratiba zingeenda vizuri sana lakini mipigaji imekaa ofisini sensa agosti shenzi type.
Ndo ujue uwezo wa kufikIri wa viongozi wetu ni mdogo, kingine watoto wangehesabiwa huko huko mashuleni kulikuwa na shida gani? Au wanapima na dna kabisa?
 
Usichokijua ni vyema kuuliza. Sensa ina tarehe zake kulingana na sensa iliyopita la sivyo inakuwa ni kama survey maana uta ‘polorate’. Hivyo hawajafanya makosa na ujue kwa kawaida inatakiwa watu wasitoke Majumbani mwao siku hiyo hadi zoezi likamilike.

Kwa ufahamu tu: kwanini mashule hasa ya bweni ni muhimu kufungwa. Unajua hii inaitwa Population and housing census. Population ni head count (idadi ya watu) hapa serikali inataka kujua ina watu wangapi ili iwapangie mipango madhubuti ya maendeleo. Kuhusu Housing hapa serikali inaoenga kujua wastani wa watu kwa kila kaya. Hii ina faida gani? Hapa serikali inalenga kujua ni wastani wa watu wangapi kwa kila kaya ili kwa mfano kukiwa na njaa, serikali iwahudumie vipi. Itakuwa inajua kuwa ina kaya ngapi na kwenye kaya kuna watu wangapi ili ikitoa unga waweze kuishi.

Mabweni ni ‘collective household’ ambazo katika mahesabu ya wastani zinachinjiwa baharini. Hivyo utakuta wastani wa kaya unakuwa ni mdogo na hapo madhara yake kwa Raia ni makubwa.

Ni vyema tukatafuta elimu badala ya kubisha au kulaumu
This is just THEORY....
Nothing out of this....
Ila..
Tuhesabiwe kwa ajili ya paper work.
 
Usichokijua ni vyema kuuliza. Sensa ina tarehe zake kulingana na sensa iliyopita la sivyo inakuwa ni kama survey maana uta ‘polorate’. Hivyo hawajafanya makosa na ujue kwa kawaida inatakiwa watu wasitoke Majumbani mwao siku hiyo hadi zoezi likamilike.

Kwa ufahamu tu: kwanini mashule hasa ya bweni ni muhimu kufungwa. Unajua hii inaitwa Population and housing census. Population ni head count (idadi ya watu) hapa serikali inataka kujua ina watu wangapi ili iwapangie mipango madhubuti ya maendeleo. Kuhusu Housing hapa serikali inaoenga kujua wastani wa watu kwa kila kaya. Hii ina faida gani? Hapa serikali inalenga kujua ni wastani wa watu wangapi kwa kila kaya ili kwa mfano kukiwa na njaa, serikali iwahudumie vipi. Itakuwa inajua kuwa ina kaya ngapi na kwenye kaya kuna watu wangapi ili ikitoa unga waweze kuishi.

Mabweni ni ‘collective household’ ambazo katika mahesabu ya wastani zinachinjiwa baharini. Hivyo utakuta wastani wa kaya unakuwa ni mdogo na hapo madhara yake kwa Raia ni makubwa.

Ni vyema tukatafuta elimu badala ya kubisha au kulaumu
Mkuu ina maana siku ya sensa kila kitu kitasimama, mfano wasafiri mikoani, daladala, pia kuna wagonjwa hospitalini je watahesabiwa vipi,
Naomba ufafanuzi kama wafahamu tafadhali
 
Mkuu ina maana siku ya sensa kila kitu kitasimama, mfano wasafiri mikoani, daladala, pia kuna wagonjwa hospitalini je watahesabiwa vipi,
Naomba ufafanuzi kama wafahamu tafadhali
Hili Mkuu nimelijibu hapo juu. Si kuwa shughuli muhimu zisimame lazima maisha yaendelee ila kama ni shughuli ambayo inaweza kuvumilika inasimama.
 
Ninavyojua shule zinafungwa tarehe 27 mwezi huu watoto wajiandae kuhesabiwa. Hii ya baadhi ya shule binafsi kuwabakiza watoto wa kidato cha nne halafu kuwaambia waongeze ada kwa ajili hiyo imekaaje? Tena bila kuwashirikisha wazazi?

Mimi naona kila mtu aheshimu maamuzi ya Serikali kama hawajamaliza silabasi ni kosa Lao na siyo la mzazi. Tena bado kuna muda wa kutosha kufidia na watoto wanahitaji mapumziko. Aidha kuweka ada juu ya ada iliyokuwepo ni kumtesa mzazi
Mtu huhesabiwa alipolala na kuamkia, sio lazima ahesabiwe nyumbani. Siku ya sensa kuna watu watakuwa mahabusu, hospitali, magerezani, jeshini nk. Hao wanafunzi watahesabiwa ondoa wasi. Hii si enzi ya kuzaliwa yesu ambapo watu walirudi kwenye Koo zao kuhesabiwa.
 
Sensa hata ikiwa mwezi wa8 hakuna shida mkuu.Serikali ilitakiwa iache mihula vile vile,yaani likizo iwe mwezi June.Mabadiliko walitakiwa wayafanye huo mwezi wa8.Mfano ile likizo fupi ya mwez September wangeirudisha iwe mwezi wa8 ili kipindi hicho watoto wawe nyumbn.
Unafungua shule July katikati halafu unafunga august mwanzoni?

Huo si usumbufu?

Watavunja likizo ya september waongeze ile ya december.
 
Usichokijua ni vyema kuuliza. Sensa ina tarehe zake kulingana na sensa iliyopita la sivyo inakuwa ni kama survey maana uta ‘polorate’. Hivyo hawajafanya makosa na ujue kwa kawaida inatakiwa watu wasitoke Majumbani mwao siku hiyo hadi zoezi likamilike.

Kwa ufahamu tu: kwanini mashule hasa ya bweni ni muhimu kufungwa. Unajua hii inaitwa Population and housing census. Population ni head count (idadi ya watu) hapa serikali inataka kujua ina watu wangapi ili iwapangie mipango madhubuti ya maendeleo. Kuhusu Housing hapa serikali inaoenga kujua wastani wa watu kwa kila kaya. Hii ina faida gani? Hapa serikali inalenga kujua ni wastani wa watu wangapi kwa kila kaya ili kwa mfano kukiwa na njaa, serikali iwahudumie vipi. Itakuwa inajua kuwa ina kaya ngapi na kwenye kaya kuna watu wangapi ili ikitoa unga waweze kuishi.

Mabweni ni ‘collective household’ ambazo katika mahesabu ya wastani zinachinjiwa baharini. Hivyo utakuta wastani wa kaya unakuwa ni mdogo na hapo madhara yake kwa Raia ni makubwa.

Ni vyema tukatafuta elimu badala ya kubisha au kulaumu
Ahsanteeee kwa somo.
 
Kweli shule nyingi wamemaliza syllabus mkuu.Tatizo nikwamba kwa aina ya wanafunzi wengi wa kitanzania,hasa wa shule za msingi hawawezi kujisomea wenyew nyumbn.September wakirudi wengi vichwa vitakua vimefuta kila kitu.Hapo ukumbuke ana wiki3 afanye necta
Kwani likizo ya mwezi wa 6 na hiyo Ina tofauti gani?
 
Wanafunzi na waalimu tupo hoi shule hazijafungwa tangu January tuheshimu ratiba ya serikali kufunga likizo mwezi huu. Hii TABIA ya kuwabakisha form four na form two kwa kisingizio kadhaa halafu kuwaombea waongeze ada siyo ya kizalendo ni kuwachocha sana watoto na waalimu kwa tamaa zenu za pesa wala siyo Ubuntu.

Mbona bado kuna muda wa kutosha? Wizara tunaomba mkemee hilo tarehe 27 mwezi huu wote wafunge shule.
 
"wizara tunaomba mkeemee hilo.tarehe 27 mwezi huu wote wafanye shule"

Hapa sijaelewa inaepekea ulipofika hapa jazba zikazidi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom