REJESHO HURU
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 4,664
- 9,929
Siyo kumkaririsha Kuna vitu unatakiwa ujue Katika kusomaKumkaririsha
Usipende kutafuta ugumu wa jambo kwa Kila jambo, Dunia haipo hivyo badilisha mtazamo wako katika kutatua changamoto zinazokukabili kuwa chanya mda wote usiwe hasiNa wa mikoani ambao hawana computer hata wapo wa dar wasio na uwezo huo. Hapo vipi?
Aksante sana kwa masahihisho23/08/2022
Ndo ujue uwezo wa kufikIri wa viongozi wetu ni mdogo, kingine watoto wangehesabiwa huko huko mashuleni kulikuwa na shida gani? Au wanapima na dna kabisa?Sensa ingefanyika mwezi.wa sita wakati shule zimefungwa kusingekuwa na matatizo yooote hayo. Ratiba zingeenda vizuri sana lakini mipigaji imekaa ofisini sensa agosti shenzi type.
This is just THEORY....Usichokijua ni vyema kuuliza. Sensa ina tarehe zake kulingana na sensa iliyopita la sivyo inakuwa ni kama survey maana uta ‘polorate’. Hivyo hawajafanya makosa na ujue kwa kawaida inatakiwa watu wasitoke Majumbani mwao siku hiyo hadi zoezi likamilike.
Kwa ufahamu tu: kwanini mashule hasa ya bweni ni muhimu kufungwa. Unajua hii inaitwa Population and housing census. Population ni head count (idadi ya watu) hapa serikali inataka kujua ina watu wangapi ili iwapangie mipango madhubuti ya maendeleo. Kuhusu Housing hapa serikali inaoenga kujua wastani wa watu kwa kila kaya. Hii ina faida gani? Hapa serikali inalenga kujua ni wastani wa watu wangapi kwa kila kaya ili kwa mfano kukiwa na njaa, serikali iwahudumie vipi. Itakuwa inajua kuwa ina kaya ngapi na kwenye kaya kuna watu wangapi ili ikitoa unga waweze kuishi.
Mabweni ni ‘collective household’ ambazo katika mahesabu ya wastani zinachinjiwa baharini. Hivyo utakuta wastani wa kaya unakuwa ni mdogo na hapo madhara yake kwa Raia ni makubwa.
Ni vyema tukatafuta elimu badala ya kubisha au kulaumu
Mkuu ina maana siku ya sensa kila kitu kitasimama, mfano wasafiri mikoani, daladala, pia kuna wagonjwa hospitalini je watahesabiwa vipi,Usichokijua ni vyema kuuliza. Sensa ina tarehe zake kulingana na sensa iliyopita la sivyo inakuwa ni kama survey maana uta ‘polorate’. Hivyo hawajafanya makosa na ujue kwa kawaida inatakiwa watu wasitoke Majumbani mwao siku hiyo hadi zoezi likamilike.
Kwa ufahamu tu: kwanini mashule hasa ya bweni ni muhimu kufungwa. Unajua hii inaitwa Population and housing census. Population ni head count (idadi ya watu) hapa serikali inataka kujua ina watu wangapi ili iwapangie mipango madhubuti ya maendeleo. Kuhusu Housing hapa serikali inaoenga kujua wastani wa watu kwa kila kaya. Hii ina faida gani? Hapa serikali inalenga kujua ni wastani wa watu wangapi kwa kila kaya ili kwa mfano kukiwa na njaa, serikali iwahudumie vipi. Itakuwa inajua kuwa ina kaya ngapi na kwenye kaya kuna watu wangapi ili ikitoa unga waweze kuishi.
Mabweni ni ‘collective household’ ambazo katika mahesabu ya wastani zinachinjiwa baharini. Hivyo utakuta wastani wa kaya unakuwa ni mdogo na hapo madhara yake kwa Raia ni makubwa.
Ni vyema tukatafuta elimu badala ya kubisha au kulaumu
Hili Mkuu nimelijibu hapo juu. Si kuwa shughuli muhimu zisimame lazima maisha yaendelee ila kama ni shughuli ambayo inaweza kuvumilika inasimama.Mkuu ina maana siku ya sensa kila kitu kitasimama, mfano wasafiri mikoani, daladala, pia kuna wagonjwa hospitalini je watahesabiwa vipi,
Naomba ufafanuzi kama wafahamu tafadhali
Barikiwa maana jambo usilolijua huwezi kulielewa, hata kwetu watu kama wewe wapoThis is just THEORY....
Nothing out of this....
Ila..
Tuhesabiwe kwa ajili ya paper work.
Mtu huhesabiwa alipolala na kuamkia, sio lazima ahesabiwe nyumbani. Siku ya sensa kuna watu watakuwa mahabusu, hospitali, magerezani, jeshini nk. Hao wanafunzi watahesabiwa ondoa wasi. Hii si enzi ya kuzaliwa yesu ambapo watu walirudi kwenye Koo zao kuhesabiwa.Ninavyojua shule zinafungwa tarehe 27 mwezi huu watoto wajiandae kuhesabiwa. Hii ya baadhi ya shule binafsi kuwabakiza watoto wa kidato cha nne halafu kuwaambia waongeze ada kwa ajili hiyo imekaaje? Tena bila kuwashirikisha wazazi?
Mimi naona kila mtu aheshimu maamuzi ya Serikali kama hawajamaliza silabasi ni kosa Lao na siyo la mzazi. Tena bado kuna muda wa kutosha kufidia na watoto wanahitaji mapumziko. Aidha kuweka ada juu ya ada iliyokuwepo ni kumtesa mzazi
Si ndiyo kuupiga mwingi hukoSijui kwanini kitaifa hawajaliona hili wamesababisha wanafunzi na walimu kuchoka sana ujinga mtupu.
Unafungua shule July katikati halafu unafunga august mwanzoni?Sensa hata ikiwa mwezi wa8 hakuna shida mkuu.Serikali ilitakiwa iache mihula vile vile,yaani likizo iwe mwezi June.Mabadiliko walitakiwa wayafanye huo mwezi wa8.Mfano ile likizo fupi ya mwez September wangeirudisha iwe mwezi wa8 ili kipindi hicho watoto wawe nyumbn.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila wee haya.Kusema za ukweli napenda kujifunza kutoka hapa JF na kama ninaachojua ningependa kufahamishana. Ila huwa napenda kutaniana na watu kama Erythrocyte au cocastic . Kuhusu sensa nawez
Ahsanteeee kwa somo.Usichokijua ni vyema kuuliza. Sensa ina tarehe zake kulingana na sensa iliyopita la sivyo inakuwa ni kama survey maana uta ‘polorate’. Hivyo hawajafanya makosa na ujue kwa kawaida inatakiwa watu wasitoke Majumbani mwao siku hiyo hadi zoezi likamilike.
Kwa ufahamu tu: kwanini mashule hasa ya bweni ni muhimu kufungwa. Unajua hii inaitwa Population and housing census. Population ni head count (idadi ya watu) hapa serikali inataka kujua ina watu wangapi ili iwapangie mipango madhubuti ya maendeleo. Kuhusu Housing hapa serikali inaoenga kujua wastani wa watu kwa kila kaya. Hii ina faida gani? Hapa serikali inalenga kujua ni wastani wa watu wangapi kwa kila kaya ili kwa mfano kukiwa na njaa, serikali iwahudumie vipi. Itakuwa inajua kuwa ina kaya ngapi na kwenye kaya kuna watu wangapi ili ikitoa unga waweze kuishi.
Mabweni ni ‘collective household’ ambazo katika mahesabu ya wastani zinachinjiwa baharini. Hivyo utakuta wastani wa kaya unakuwa ni mdogo na hapo madhara yake kwa Raia ni makubwa.
Ni vyema tukatafuta elimu badala ya kubisha au kulaumu
Kwani likizo ya mwezi wa 6 na hiyo Ina tofauti gani?Kweli shule nyingi wamemaliza syllabus mkuu.Tatizo nikwamba kwa aina ya wanafunzi wengi wa kitanzania,hasa wa shule za msingi hawawezi kujisomea wenyew nyumbn.September wakirudi wengi vichwa vitakua vimefuta kila kitu.Hapo ukumbuke ana wiki3 afanye necta
Umeona we [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Taratibu una haraka sana