Sensa 2022: Inakuwaje baadhi ya shule zinataka kubakiza shuleni Wanafunzi wenye mitihani ya Taifa?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
We ulivyofika madarasa hayo muda wa likizo ulibakia shuleni na walimu wako hawakulalamika Leo we ndo unashikia bango kiasi hiki ?
 
Upo hoi peke yako mbona mimi mwalimu mwenzio nipo sawa tu...
Naomba Serikali utuache tuwasaidie hawa watoto ili wafanye vizuri kwa faida ya nchi yetu.
 
Mimi mwanafunzi wa form 2A nasema tusifunge shule Mwl.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…