Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo life span Sasa ni miaka 70Ni Kwasababu ya ugumu wa maisha?
Au kutokana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza?
Au ni kutokana na mtindo wa maisha?
Hakuna shida idadi ya watoto haiwezi kuwa sawa na wakubwa,ukitaka ujue data sahihi tumia takwinu za 2012 linganisha walokuwa na miaka 20 kipindi hicho walikuwa wangapi saizi itabidi wawe na 30 je wako wangapi hapo utapata death rateNi Kwasababu ya ugumu wa maisha?
Au kutokana na ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza?
Au ni kutokana na mtindo wa maisha?
Hebu tumia akili kidogo.Hakuna shida idadi ya watoto haiwezi kuwa sawa na wakubwa,ukitaka ujue data sahihi tumia takwinu za 2012 linganisha walokuwa na miaka 20 kipindi hicho walikuwa wangapi saizi itabidi wawe na 30 je wako wangapi hapo utapata death rate
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Sambamba na hlo , sababu kuu ni kuwa na uchumi wa kuranda randa , miaka hyo ndo watu huongeza bidii za utaftaji na wengi hufia huko safarini , ajali na n.k, tujitahd kujenga uchumi wa kukufanya uwe karbu na nyumbani always, sio mtu mda wote upo safarini unaranda randa miaka yote et utaftaji , familia iko dsm , kuja kuonana nayo ni baada ya miez mitatu au minne , unakaa wiki moja huyo unasepa , nchi yetu ni red baton kwa ajali , huko utashawishika na ngono ni kuleta magonjwa , huku utachapiwa mke na kulea watoto wasio wakoni miaka ambayo wengi wanakata moto kwa Ngoma
ambayo possibly waliukwaa kipindi cha 20s huko
Nipe akili za kutumia ,mimi sinaHebu tumia akili kidogo.
Watu wenye miaka 18+ ni milioni 4+?
Kwahiyo, hao watu wameshindwa kuzeeka?
Au wako wapi, maana watu wenye miaka kuanzia 25+ wamepungua sana
Hivi ukimwi bado huko kweli?Bila kumung'unya maneno ngoma inachangia pakubwa. Miaka 30 ni umri mdogo sana, miaka hii ukifikisha umri wa miaka 40 bila maambukizi ya UKIMWI shukuru Mungu na chukua tahadhari zaidi kujilinda na maambukizi hayo ili angalau ufikishe umri wa miaka 70 japo ajali nazo ni kitisho kikubwa
Si wanasemaga maambukizi yamepungua? Na wanaokataga moto au kunyoosha goti ni wana ndoa.ni miaka ambayo wengi wanakata moto kwa Ngoma
ambayo possibly waliukwaa kipindi cha 20s huko
70 si tungeringa. Qatar kwenyewe, Switzerland, Norway, laxembourg na ireland wanacheza 55-60.Acha uongo life span Sasa ni miaka 70
upo ila sio mkali kama wa kipindi kile, huu wa sasa umefubazwa ka dawa za ARVHivi ukimwi bado huko kweli?
Alafu wenye 2 Million. Wengi Wana watoto ambao kiichumi wapo vizuriHiyo lifespan ya miaka 70 ni ya nchi gani?
Maana Tanzania watu wenye miaka 70 hawazidi milioni 2, Kati ya watu milioni 61.
Nina tupu.. wengine tupo kwenye dead zone sasa kwa hizo takwimuni miaka ambayo wengi wanakata moto kwa Ngoma
ambayo possibly waliukwaa kipindi cha 20s huko