Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

Sensa 2022: Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitangaza Matokeo ya Sensa na Watu na Makazi ya Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo tarehe 31 Oktoba, 2022



Samia Suhuhu Hassan - Rais
Nataka niitangazie dunia kuwa Sensa ya watu na makazi ya 2022 imefuata vigezo vilivyowekwa na umoja wa mataifa.

Tumeandika historia kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru, tumeweza kupata idadi ya majengo yote pamoja na anwani za makazi.

Leo hii tumefika ukingoni mwa zoezi la sensa tulilofanya kwa ufanisi mkubwa. Sensa hii imefuata vigezo vyote vya kimataifa.

Kwa mamlaka niliyopewa na katiba ya JMT ya mwaka 1977, nawatangazia kuwa Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120.

Watu 59,851,347 wapo Tanzanzia bara na 1,889,773 Tanzania zanzibar.

Wanawake wapo 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na wanaume ni 30,530,130 sawa na asilimia 49 ya watu wote.

Kati ya mwaka 2012 hadi 2022, ongezeko la watu ni 19,812,197 sawa na asilimia 3.2

Tanzania bara, mkoa wa DSM unaongoza kwa watu nchini, wapo 5,383,728 sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini, na mkoa wa pili ni mwanza wenye wakazi 3,696,872 sawa na asilimia 6.

Idadi ya mejengo ni 14,348,372 ambapo Tanzania bara yapo 13,907,951 na Zanzibar yapo 440,421

Vituo vya kutolea huduma za afya vipo 10067 ambapo zahanati zipo 7889, vituo vya afya 1490 na hospitali 688.

Upande wa shule, zipo 25,626 ambapo shule za msingi zipo 19,769 na shule za sekondari zipo 5857

Makadirio yanaonesha kuwa hadi kufikia mwaka 2025 Tanzania itakuwa na watu 67,962,097 na hadi kufikia mwaka 2050 idadi itafikia 151,252,429.

Asanteni kwa kunisikiliza, Mungu aibariki nchi yetu, Mungu aibariki Afrika. Asanteni sana kwa kunisikiliza.

Makosa haya ya kitakwimu zimefanyika kwa makosa au makusudi?
Ukiangalia idadi ya watu 2022 ni 61,871,120 huku ukijumlisha idadi ya wanawake 31,687,990+ wanaume 30,281,130 ni sawa na watu 62,218,120 na siyo 61,871,120.Vipi hapo?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akitangaza Matokeo ya Sensa na Watu na Makazi ya Mwaka 2022 katika Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma leo tarehe 31 Oktoba, 2022



Samia Suhuhu Hassan - Rais
Nataka niitangazie dunia kuwa Sensa ya watu na makazi ya 2022 imefuata vigezo vilivyowekwa na umoja wa mataifa.

Tumeandika historia kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru, tumeweza kupata idadi ya majengo yote pamoja na anwani za makazi.

Leo hii tumefika ukingoni mwa zoezi la sensa tulilofanya kwa ufanisi mkubwa. Sensa hii imefuata vigezo vyote vya kimataifa.

Kwa mamlaka niliyopewa na katiba ya JMT ya mwaka 1977, nawatangazia kuwa Tanzania ina idadi ya watu 61,741,120.

Watu 59,851,347 wapo Tanzanzia bara na 1,889,773 Tanzania zanzibar.

Wanawake wapo 31,687,990 sawa na asilimia 51 ya watu wote na wanaume ni 30,530,130 sawa na asilimia 49 ya watu wote.

Kati ya mwaka 2012 hadi 2022, ongezeko la watu ni 19,812,197 sawa na asilimia 3.2

Tanzania bara, mkoa wa DSM unaongoza kwa watu nchini, wapo 5,383,728 sawa na asilimia 8.7 ya watu wote nchini, na mkoa wa pili ni mwanza wenye wakazi 3,696,872 sawa na asilimia 6.

Idadi ya mejengo ni 14,348,372 ambapo Tanzania bara yapo 13,907,951 na Zanzibar yapo 440,421

Vituo vya kutolea huduma za afya vipo 10067 ambapo zahanati zipo 7889, vituo vya afya 1490 na hospitali 688.

Upande wa shule, zipo 25,626 ambapo shule za msingi zipo 19,769 na shule za sekondari zipo 5857

Makadirio yanaonesha kuwa hadi kufikia mwaka 2025 Tanzania itakuwa na watu 67,962,097 na hadi kufikia mwaka 2050 idadi itafikia 151,252,429.

Asanteni kwa kunisikiliza, Mungu aibariki nchi yetu, Mungu aibariki Afrika. Asanteni sana kwa kunisikiliza.
Screenshots_2022-10-31-22-22-30.jpg
 
Kutangaza idadi ya watu mpaka pawepo na misafara ya v-8 wakati uswahilini maji hayatoki bombani, hizo pesa wanazochezea wangekuwa wanazitumia hata kuchimba visima ningewaona wa maana, wao wanawaza anasa tu.
Ccm ya viwonder
 
Rais Samia anafuja pesa pasipo sababu ya msingi.

Angepokea hii taarifa ya sensa na kuisoma akiwa Ikulu angeokoa pesa nyingi sana na angeelekeza bajeti hii kwenye mambo muhimu.
Kwani imetumika sh?
 
Kwa nini sensa ya mwaka huu imepewa shamra shamra kubwa kiasi hiki? Kuna mikoa nadhani idadi ya watu imeonyeshwa ina watu wachache sana na kisa sijui ni nini??? Ni hisia tu sina ushahidi. Kuna mikoa watu ni wengi kuliko ilivyotarajiwa kama Zanzibar???. Je data hizi zimewekwa kisiasa tena??? je cake ya Taifa itagawanywa kwa kufuata Population??? ua utashi wa kisiasa???. Naomba nielimishwe.
 
Kwa nini sensa ya mwaka huu imepewa shamra shamra kubwa kiasi hiki? Kuna mikoa nadhani idadi ya watu imeonyeshwa ina watu wachache sana na kisa sijui ni nini??? Ni hisia tu sina ushahidi. Kuna mikoa watu ni wengi kuliko ilivyotarajiwa kama Zanzibar???. Je data hizi zimewekwa kisiasa tena??? je cake ya Taifa itagawanywa kwa kufuata Population??? ua utashi wa kisiasa???. Naomba nielimishwe.
Sasa idadi ya watu na Siasa wapi na wapi?
 
Sasa idadi ya watu na Siasa wapi na wapi?
Gtaxiiiii elewa nachokizungumza how do you dis-associate sensor and politics my friend, hapo kuna majimbo issue and so forth do not be blind my friend. Sensor is an issue of economics, division of national cake etc. How blind can you be.
 
Back
Top Bottom