Nawaza kama siku ya sensa haitakuwa siku ya mapumziko, Je zoezi la sensa litaenda vizuri kweli? Nawaza kitofauti kwamba endapo watu hawatabaki nyumbani hasa hasa watumishi ambao baadhi ya familia hawana mtu anayebaki nyumbani hii imekaaje kupata taarifa za familia husika.
Hii siku waifanye iwe siku ya mapumziko ili serikali ifanikishe zoezi hili. Siku moja kubaki nyumbani sio kitu kibaya kwa sababu kama tunabaki nane nane ambazo hazina hata impact kubwa why not SENSA ambayo itatupa data za kufanya tathimini kama taifa.
Me nashauri siku hiyo watu wawepo nyumbani maana kumuacha msichana wa kazi au mtoto itakuwa issue kupata data za mhm kama elimu n.k
Hii siku waifanye iwe siku ya mapumziko ili serikali ifanikishe zoezi hili. Siku moja kubaki nyumbani sio kitu kibaya kwa sababu kama tunabaki nane nane ambazo hazina hata impact kubwa why not SENSA ambayo itatupa data za kufanya tathimini kama taifa.
Me nashauri siku hiyo watu wawepo nyumbani maana kumuacha msichana wa kazi au mtoto itakuwa issue kupata data za mhm kama elimu n.k