Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala sina hizo habari
Sipo tayari mkihitaji mtanikuta shambani kwangu,nimehama mjini nimekerwa na Tozo zenu
Tozo haiepukiki ni lazima, hakuna maendeleo bila tozo, ukitaka maji safi, hospitali zenye vifaa tiba, barabara nzuri, shule nzuri ni lazima ulipe tozo/kodi.Sipo tayari mkihitaji mtanikuta shambani kwangu,nimehama mjini nimekerwa na Tozo zenu
Hii ni awamu ya 6,awamo Tano zilizopita ulikuwa unatoa tozo? Hizo huduma ulizozitaja zilikuwa hazipatikani awamu hizo zilizopita? Tunalipa Kodi hatukatai kulipa Kodi ila hatuwezi kulipa Kodi mara mbili mbiliTozo haiepukiki ni lazima, hakuna maendeleo bila tozo, ukitaka maji safi, hospitali zenye vifaa tiba, barabara nzuri, shule nzuri ni lazima ulipe tozo/kodi.
hata raia wa marekanai wanatoa tozo kwa maendeleo yao, mwenzetu wewe ni Raia wa nchi gani duniani?
kama hutaki basi nenda burundi, tuache sisi tulipe tozo maana tunaona manufaa yake.Hii ni awamu ya 6,awamo Tano zilizopita ulikuwa unatoa tozo? Hizo huduma ulizozitaja zilikuwa hazipatikani awamu hizo zilizopita? Tunalipa Kodi hatukatai kulipa Kodi ila hatuwezi kulipa Kodi mara mbili mbili
Siwezi kwenda Burundi hii nchi ni yetu acha umalaya we fala,unajua Kuna takataka wachache ndo wanatuletea haya mambo ya kisenge halafu chawa wao wanayashangiliakama hutaki basi nenda burundi, tuache sisi tulipe tozo maana tunaona manufaa yake.
itakula kwako na kizazi chako.Watakuta kufuri! Sijui watarudi ????[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]