Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 3,474
- 3,744
Nauliza tu kwa upole kuhesabu watu na kutengeneza Katiba Mpya kipi bora kwa watanzania wa leo? Maana sielewi ni nini kipaumbele cha CCM na Serikali yake.
Pia soma > Serikali iachane na sensa 2022 badala yake ishughulikie Katiba Mpya
Pia soma > Serikali iachane na sensa 2022 badala yake ishughulikie Katiba Mpya