Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Moja ya mambo muhimu sana kwenye nchi wakati wa sensa ni serikali kujua wananchi wake wanakula milo mingapi kwa siku, nilitumai nitaulizwa lakini nikaulizwa kama nina tatizo la kiafya!
Ni vipi unamuuliza hali ya afya yake mtu ambaye hata kupata mlo mmoja kwa siku hana uhakika!
Bahati mbaya waliotunga maswali wao hupata milo minne kila siku, hivyo hawajui kitu kinachoitwa njaa.
Ni vipi unamuuliza hali ya afya yake mtu ambaye hata kupata mlo mmoja kwa siku hana uhakika!
Bahati mbaya waliotunga maswali wao hupata milo minne kila siku, hivyo hawajui kitu kinachoitwa njaa.