Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
haipendezikabisa yani wana roho ngumu
WamegomaTemeke wameamua kutotoa majina.
Mtajibeba
nchi ngumu sana hiiHuku kwenye mbao za ofisi za kata nimeona hadi majina yanayolandana na majina ya wajumbe wa vitongoji, this is worse...
tujiandae kuhesabiwa tuNimelimwa kichwa huku najiona haya maisha haya daah..
kabisa connection muhimuSensa ya mwaka huu imenipa funzo kubwa sana, kwamba kama huna akujuaye huko juu basi endelea kulima viazi
Pole boss, yote maisha tu.Nimelimwa kichwa huku najiona haya maisha haya daah..
Hii inchi ina mambo ya ajabu sana...Mimi nimekosa tehama nna degree kapata mwanafunzi wangu ana certificate ya shortcourse tena compueter application ya mwezi mmoja. Nna degree ya Data management ambapo nimefanya statistics