Sensa ya Watu na Makazi: Tuliulizwa kama unafuga ng'ombe, mbuzi, kuku. Lakini kwanini hatukuulizwa kama unafuga Nguruwe na Mbwa?

Kweli mkuu
 
Labda waliona maswali hayo yangeweza kusababisha hasira kwa baadhi ya watu ambao wana mtazamo hasi dhidi ya wanyama hao( ni hivyo isingekuwa UNIVERSAL).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…