Sentensi bora kumtongoza mwanamke!

Umetisha san mkuu
 
Eti Dada kwani kumpenda mtu ni kosa?
Ananijibu sio kosa. Nikamwambia basi Mimi nakupenda.

Kuna mwingine nikamwambia hivi nikamwambia nakupenda utajisikiaje?
Akanijibu atajisikia furaha.
Nikamwambia bas Mimi nakupenda. Mtoto anacheka Cheka tu.
 
Jameni wanaume Na wanawake tumeumbiwa kupendana!

Andika sentensi kali ya mtongozo ambayo haijawahi kukuangusha!
Mwanaume ambayo mwanamke ngumu kuchomoa!

Wanawake ni sentensi ipi uliwahi kuambiwa Na mwanaume ukanyong'onyea!! Au ukampa maksi za juu!
Nikiwa kijana niliwahi kumwambia msichana (alikuwa mkubwa kwangu) 'Njoo gheto nikutongoze' ...akaja, sikuhitaji kutongoza tena maana kuja kwake ilikuwa ni kukubaliana na tongozo! hatua husika ikachukua nafasi!
 
Mm huwa sijui kutongoza bali nikitaka demu or mwanamke yeyote yule huwa namwangalia tu machoni kwa kumkazia bila kupepesa macho lazima aangalie chino nashika mkono naenda kugegeda
Bila kuongea
 
Mm huwa sijui kutongoza bali nikitaka demu or mwanamke yeyote yule huwa namwangalia tu machoni kwa kumkazia bila kupepesa macho lazima aangalie chino nashika mkono naenda kugegeda
Tamu sanaaa hii[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu
 
Mistari kama ya Dr Love Pimbi hahhaha
 
You are beautiful girl (one sentence).
May you be mine (another sentence)
 
Unauliza sentensi nzuri za kutongozea kwa ajili ya kukutanisha vifanyio tu au mtongozo wa nia ya kuanzisha mahusiano au mtongozo wa kutafuta mama yeyooo???

Maana malengo tofauti na mtongozo nao huwa tofauti...
One night stand!
 
Mm huwa sijui kutongoza bali nikitaka demu or mwanamke yeyote yule huwa namwangalia tu machoni kwa kumkazia bila kupepesa macho lazima aangalie chino nashika mkono naenda kugegeda

afu ukimaliza unaingia kwenye pochi na kulipa huduma uliyopata.. maana a decent lady wa hivyo ni 1 in a million.
 
nakupenda nataka kuwa mwanaume wako.....siku hizi nimeacha ngonjera
 
Huu Kweli ni mtongonzo kababe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…