Senzo ajiuzulu ndani ya Simba

Mwamedi alishindwa kuiendesha timu yake Mbagala Market ni suala la muda tu
 
za chini ya kapeti ni kuwa............Senzo anahamia upande wa pili[emoji42][emoji42][emoji42][emoji42]
 
Taarifa za chini chini kutoka ndani ya klabu ya Simba inasemekana Morriston hakuwepo kwenye mipango ya wachezaji waliokuwa wanatakiwa kusajiwa na Simba kwenye usajili huu.
Morriston amesajiliwa kishabiki na sio ki professional kwa mahitaji ya Simba.
Kina uneducated Haji kutaka kuikomoa Yanga.
 
Simba itayumba MO Akijitoa wengine wote wanaweza kuondoka na Simba isipate shida yoyote as long as hela ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…