Kwani wewe hujafurahia Morrison kuja 5imba?Namuunga mkono hata mimi ningefanya hivyo
sijafurahi kwa sababu limefanyika kienyeji. Morrison ana huduma nzuri sana ila pasua kichwaKwani wewe hujafurahia Morrison kuja 5imba?
Mwamedi alishindwa kuiendesha timu yake Mbagala Market ni suala la muda tuAlitaka Simba SC 'wasiharakishe' Kwanza 'Kumtangaza' Bernard Morrison ile Jana mpaka 'Shauri' lake litakapotolewa Tamko rasmi Kesho na TFF ila kama kawaida yetu 'Waswahili' na 'Upuuzi' uliopo katika Timu hizi mbili Watu wakawa na 'Viherere' ambavyo 'Kisheria' vinaenda 'Kuigharimu' Klabu ya Simba na Yeye ( Senzo Mbatha ) ni 'Mweledi' mno hivyo hataki 'Kuchafuka' na 'CV' yake 'Kuharibiwa' na Waswahili wa Kitanzania.
Hata hivyo hili la Bernard Morrison ni Tisa ila Kumi na ambalo nina uhakika nalo kutoka katika Chanzo changu 'ninachokiamini' ndani ya Timu ni kwamba kuna 'Zengwe' la baadhi ya Viongozi 'Wapigaji' wa Simba SC wanataka Kocha Mkuu Sven Vandebroek 'atimuliwe' ili aje Kocha watamkae Wao kisha kama kawaida waendelee 'Kupiga' ile 10% yao lakini CEO 'aliyejiuzuru' Senzo Mbatha 'amewakatalia' kwa kusema Kocha hana tatizo.
Kujiuzuu kwa CEO huyu Senzo Mbatha ambaye CV yake 'inatisha' hasa 'Kiutendaji' ni 'Pigo' kubwa kwa Simba SC na inaweza 'Kuiyumbisha' Klabu.
Ndiyo akili yako inapoishia hapo?Heri maneno ya huyu wa simba. Vp yule aliyewaita MANYANI imekaa utamu eeenh
Kufanya kazi Tanzania ni lazima uwe sehemu ya Unafiki, Majungu na Fitina sasa watu kama Senzo ni watu smart hawataki uhuni na ,ujanja ujanja hawezi kuvumilia ushenzi.Aussems alishasema kabisa wakati anaondoka, pale Simba kumejaa watu wa hovyo
Ohooooo.Magori anarudi tena ?Naona ni kama Magori alikuwa CEO tu.Kwa mujibu wa Tweeter yake,kaamua kujiuzulu within a short space of time. Habari kamili inakuja.
Umethibitisha yale maneno kuwa ni ya kweli!Ndiyo akili yako inapoishia hapo?
C kuna swal hpo mbona hujalijbu? Huo ndio UNYANINdiyo akili yako inapoishia hapo?
Kina uneducated Haji kutaka kuikomoa Yanga.Taarifa za chini chini kutoka ndani ya klabu ya Simba inasemekana Morriston hakuwepo kwenye mipango ya wachezaji waliokuwa wanatakiwa kusajiwa na Simba kwenye usajili huu.
Morriston amesajiliwa kishabiki na sio ki professional kwa mahitaji ya Simba.
Mkuu wewe ni shabiki wa Simba unae jitambua, utovu wa Morrison ilibidi asipate team hapa Tzsijafurahi kwa sababu limefanyika kienyeji. Morrison ana huduma nzuri sana ila pasua kichwa
Kwan kwa misimu 3 walikuwa wao pale simba? Money talkNa bado kocha naye anaondoka. Maana Senzo aliwagomea kumtimua.
Well saidMtu makini hawezi vumilia uswahili wa kina Haji, Kaduguda...hata Mwamedi mwenyewe mswahili!
yule jamaa ni mtu wa bata ana wahuni wake wanamfuataga toka bonden, wakifika tu ni full kulewa.sijafurahi kwa sababu limefanyika kienyeji. Morrison ana huduma nzuri sana ila pasua kichwa
Amechoka uswahili wa kina Mwamedi na Lunatic HajjiKwa mujibu wa Tweeter yake,kaamua kujiuzulu within a short space of time. Habari kamili inakuja.