Senzo ajiuzulu ndani ya Simba

tatizo lililopo Simba ni huyu Mwamedi pamoja na hela na elimu ila ni tikiti maji tuu ndiyo anaharibu timu huku anajenga.
Yeye atoe hela tuu aache wengine wafanye kazi yao.
Kwan Mwamedi kafanyaje katika hili?
 
Kaduguda na chapati kudadeki
 
Sasa hii ndo Simba ninayoijua mimi, Simba ya migogoro.
Nilivyomuona Manara anashikana-shikana na Morrison wakati bado kesi inarindima nikasema Yes this is simba sasa.

Yani ile simba ya juzi-juzi ya kujifanya ni professional team ilikua ni maigizo tu sasa wamerudi kwenye originality yake kabisa Simba ya misuguano ambayo soon itasababisha kocha ataondoka/ataondoshwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…