Senzo ajiuzulu ndani ya Simba

Hujawahi kuniangusha, nimesema maneno haya mchana. Nimeanzisha thread hapa mchana baadhi ya watu wakapinga maoni yangu. Lakini nasema tena hujawahi kuniangusha maana uliyosema ndo niliyosema mchana.
1.Unaanzaje kuoa mke wa mtu mwenye kesi ya talaka mahakamani?
2.Hata kama mchezaji anawataka nyie kwa nini msimsajili kimya kimya hadi hapo suala lake na mabosi wake wa zamani litakapokwisha?
 
Senzo kumbe hovyo tu. nilidhani ni jembe makini fulani, unamkimbia morrison na kuamua kwenda kuuza ramani ya vita kwa adui?
What a snitch..
 
Reactions: mmh
....Wengine wanatafuta ushindi,wengine wanatafuta umaarufu na wengine wanatafuta faida...

Kila mmoja anaplay part yake..
 
Hapo kwenye kumtangaza morisoni hata mm pameniuzi, kwani wangesubiri mpk hukumu ikatoka ingezuia nn. Waswahili koo huwa linatuwasha sana hasahasa tukiwa na jambo la kuweka sirini.
 
Hapo kwenye kumtangaza morisoni hata mm pameniuzi, kwani wangesubiri mpk hukumu ikatoka ingezuia nn. Waswahili koo huwa linatuwasha sana hasahasa tukiwa na jambo la kuweka sirini.
Ndo kukosa weledi huko, uswahili na ujuwaji mwingii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…