Senzo ajiuzulu ndani ya Simba

Senzo ajiuzulu ndani ya Simba

Ni kweli kajiuzulu natumaini hajafurahia usajili wa mpanda mipira

Alitaka Simba SC 'wasiharakishe' Kwanza 'Kumtangaza' Bernard Morrison ile Jana mpaka 'Shauri' lake litakapotolewa Tamko rasmi Kesho na TFF ila kama kawaida yetu 'Waswahili' na 'Upuuzi' uliopo katika Timu hizi mbili Watu wakawa na 'Viherere' ambavyo 'Kisheria' vinaenda 'Kuigharimu' Klabu ya Simba na Yeye ( Senzo Mbatha ) ni 'Mweledi' mno hivyo hataki 'Kuchafuka' na 'CV' yake 'Kuharibiwa' na Waswahili wa Kitanzania.

Hata hivyo hili la Bernard Morrison ni Tisa ila Kumi na ambalo nina uhakika nalo kutoka katika Chanzo changu 'ninachokiamini' ndani ya Timu ni kwamba kuna 'Zengwe' la baadhi ya Viongozi 'Wapigaji' wa Simba SC wanataka Kocha Mkuu Sven Vandebroek 'atimuliwe' ili aje Kocha watamkae Wao kisha kama kawaida waendelee 'Kupiga' ile 10% yao lakini CEO 'aliyejiuzuru' Senzo Mbatha 'amewakatalia' kwa kusema Kocha hana tatizo.

Kujiuzuu kwa CEO huyu Senzo Mbatha ambaye CV yake 'inatisha' hasa 'Kiutendaji' ni 'Pigo' kubwa kwa Simba SC na inaweza 'Kuiyumbisha' Klabu.
 
Screenshot_20200809-155701_Mwana Msimbazi.jpg
 
Taarifa za chini chini kutoka ndani ya klabu ya Simba inasemekana Morriston hakuwepo kwenye mipango ya wachezaji waliokuwa wanatakiwa kusajiwa na Simba kwenye usajili huu.
Morriston amesajiliwa kishabiki na sio ki professional kwa mahitaji ya Simba.
 
Taarifa za chini chini kutoka ndani ya klabu ya Simba inasemekana Morriston hakuwepo kwenye mipango ya wachezaji waliokuwa wanatakiwa kusajiwa na Simba kwenye usajili huu.
Morriston amesajiliwa kishabiki na sio ki professional kwa mahitaji ya Simba.
Senzo asingeweza kusajili mtovu wa nidham wa kiwango kile. Sasa jiulize nani kasaini mkataba ule
 
Taarifa za chini chini kutoka ndani ya klabu ya Simba inasemekana Morriston hakuwepo kwenye mipango ya wachezaji waliokuwa wanatakiwa kusajiwa na Simba kwenye usajili huu.
Morriston amesajiliwa kishabiki na sio ki professional kwa mahitaji ya Simba.
Aussems alishasema kabisa wakati anaondoka, pale Simba kumejaa watu wa hovyo
 
Kwa mujibu wa Tweeter yake,kaamua kujiuzulu within a short space of time. Habari kamili inakuja.
Mkuu, bila shaka Senzo ni mtu mwenye weledi. Hawezi kukubali wamsaunishe Morrison wakati suala lake bado lipo TTF hata kama wamepenyezewa taarifa fulani.

Tayari tumeshuhudia tunda la kwanza la uhuni wao kuhusu Morrison. Mengine yanakuja.

Mo ni Mwamedi mwingine tu.
 
Back
Top Bottom