Senzo ajiuzulu ndani ya Simba

Senzo ajiuzulu ndani ya Simba

Sasa kosa la simba lipo wapi?.
Yanga walimpa mchezaji mkataba wa miezi 6.
Walipoona mchezaji anafanya vizuri wakataka kumuongezea mkataba wa miaka 2.
Mchezaji akagoma akawaambia tayari nina OFA NA TIMU NYINGINE SIWEZI KUONGEZA MKATABA.
kosa la simba lipo wapi?.
Mchezaji anasema yeye yupo huru sababu alipewa mkataba wa miezi 6 na imeisha KWA HYO YUPO HURU KUSAJILIWA.
kesi ya yanga na Morrison inawahusu nini SIMBA?.
WAKATI MCHEZAJI MWENYEWE ANASEMA ANA MKATABA WA MIEZI 6.


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Kuna ushahidi kuwa alishapigiwa simu ya kushawishiwa na pia alipokea rushwa kutoka timu kubwa obviously ni Simba, subirini barua itakayokwenda TAKUKURU itafunua mambo zaidi.
 
hapa kosa ni la yanga.
Walimpa mkataba wa muda gani?.
Kama walimpa mkataba wa miezi 6 na umeisha ina maana mchezaji yupo huru kuongea na timu yoyote.wao wanakasirika nini?.
Walipotaka kuongeza mkataba huo wanaosema wa miaka 2.mchezaji akagoma..
Kuna ushahidi kuwa alishapigiwa simu ya kushawishiwa na pia alipokea rushwa kutoka timu kubwa obviously ni Simba, subirini barua itakayokwenda TAKUKURU itafunua mambo zaidi.

Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 
hapa kosa ni la yanga.
Walimpa mkataba wa muda gani?.
Kama walimpa mkataba wa miezi 6 na umeisha ina maana mchezaji yupo huru kuongea na timu yoyote.wao wanakasirika nini?.
Walipotaka kuongeza mkataba huo wanaosema wa miaka 2.mchezaji akagoma..


Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
Ndio simba itoe rushwa?

Ndio Morison apokee rushwa?
 
Kuna ushahidi kuwa alishapigiwa simu ya kushawishiwa na pia alipokea rushwa kutoka timu kubwa obviously ni Simba, subirini barua itakayokwenda TAKUKURU itafunua mambo zaidi.
Mchezaji ukiwa ubebakiza miezi sita inaruhusiwa kuongea na timu nyingine bila kuomba kibali kwa mwajiri wako, ila hairuhusiwi kusaini mkataba.
Ko kitendo cha Simba kuongea na Morison haikua kesi. Kesi itakuja ka Leo TFF watathibitisha kua Morison anamkataba na Yanga wa miaka miwili
 
Umeisaidia nini simba toka hiyo 1978 kiasi cha kumuita Mo hana akili?
We urithi wake unakuuma nini, kwani umekatazwa kurithi kwa baba ako na wewe?
Aliyekuzidi kakuzidi tu.
Sibishani na washabiki uchwara. Hata Mwamedi akifa leo Simba itabaki. Mwamedi inaihitaji Simba zaidi ya Simba inavyomuhitaji Mwamedi.
 
Ahsante mkuu, nadhani umejipambanua chuki zako binafsi na wewe ni mtu wa aina gani.
Ni kweli nina chuki. Nina chuki na mtu yeyote aliyewaza, kutamka, kumwambia, kumsainisha na kumtaka Bernard Morrison kuchezea Simba. Hata ninyi mnaomshabikia nina chuki KALI dhidi yenu!!!
 
Back
Top Bottom