Senzo kuhamia Yanga ni hatari kuliko Morrison kuhamia Simba

Senzo nae sio professional haiwezekani abwage manyanga kabla hata masaa 24 hajakabidhi ofisi anaonekana mtaa wa pili anasaini yanga...nae kaingia kwenye siasa za usimba na uyanga
 
Kwa vyovyote vile Morrison ni mchezaji tu wa timu asiye na nidhamu na kazi yake, lakini Senzo ni taasisi.

Senzo ana Mambo yote ya club ya Simba mabaya na mazuri kifuani mwake, ambayo sasa ni rasmi yanaweza kufika mikoni mwa mwajiri wake mpya.
kweli kabisa
 
Mambo ya uswazi unaleta JF, na jeshi la polisi walisemaje baada ya uchunguzi.
Kama ukiwauliza swali polisi la Ni taasisi gani inaongoza kwa rushwa nchini utategemea kusikia jibu gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…