GeoMex
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 5,431
- 19,913
Professional CEO angejiuzulu na kueleza sababu, sio kukimbilia sebuleni kwa mtu kusaini mikataba ya klabu ya Yanga.
Hakuna haja ya kumuongelea Senzo, tuongelee Simba na wapi tumefanya sahihi na wapi tumeteleza
Senzo sijui Morrison sijui nani watakuja na wataondoka ila Simba iko pale pale