Senzo Mthethwa yupo hai

Senzo Mthethwa yupo hai

Nimeona kuna uzi unauliza kama Senzo Mthethwa, msanii wa reggae wa Afrika kusini aliyetamba miaka ya 90 kama yu hai ama amefariki. Senzo yupo hai. Naongea hili kwa ujasiri kabisa, kwa kuwa mimi ni mmoja ya watu wanaowasiliana na Senzo mara mojamoja kwa simu.

Ni kwamba, Senzo alikuwa anaumwa sana hali iliyomfanya apoteze sauti alipokwenda Malawi kwenye tour ya music 1999. Licha ya hivyo, ameweka documentary yake youtube kukanusha kwa uzushi uliokuwepo kwamba alipigwa risasi, mara lile, mara hili.

Sasa kuna jamaa kwenye huo uzi uliobandikwa kumuhusu Senzo, anachangia kuwa ameuawa 2015, inaonesha hadi mishipa inamtoka japo simuoni na ananukuu maneno yake kabla ya kuuawa na kuna baadhi ya wavivu wanaamini umbea wake. Maana kama jambo hulijui na unalisema, huo ni umbea. Ni vema jambo kama hulijui, ukae kimya kuliko kupotosha. Na sisi watanzinia ni wavivu mno wa kutafuta ukweli hata kama upo wazi. Narudia, ni wavivu mno hata kwa vitu vilivyowazi

Senzo yupo hai.
Hizo ni rumors tu, Senzo hayupo duniani, hata rafiki yake kelly khumalo alithibitisha.

Ushahidi wa polisi nao upo kutokana na mauwaji yake yaliyofanywa na Longwe
 
Hizo ni rumors tu, Senzo hayupo duniani, hata rafiki yake kelly khumalo alithibitisha.

Ushahidi wa polisi nao upo kutokana na mauwaji yake yaliyofanywa na Longwe
Acha kupotosha wewe! Wewe unamzungumzia Senzo mchezaji wa mpira, si muimbaji wa Reggae. Hivi huoni aibu kudanganya watu. Alafu unasema Kelly Khumalo. Who is Kelly Khumalo? Yaani unadanganya hadi unajionea aibu mwenyewe.
 
Nimeona kuna uzi unauliza kama Senzo Mthethwa, msanii wa reggae wa Afrika kusini aliyetamba miaka ya 90 kama yu hai ama amefariki. Senzo yupo hai. Naongea hili kwa ujasiri kabisa, kwa kuwa mimi ni mmoja ya watu wanaowasiliana na Senzo mara mojamoja kwa simu.

Ni kwamba, Senzo alikuwa anaumwa sana hali iliyomfanya apoteze sauti alipokwenda Malawi kwenye tour ya music 1999. Licha ya hivyo, ameweka documentary yake youtube kukanusha kwa uzushi uliokuwepo kwamba alipigwa risasi, mara lile, mara hili.

Sasa kuna jamaa kwenye huo uzi uliobandikwa kumuhusu Senzo, anachangia kuwa ameuawa 2015, inaonesha hadi mishipa inamtoka japo simuoni na ananukuu maneno yake kabla ya kuuawa na kuna baadhi ya wavivu wanaamini umbea wake. Maana kama jambo hulijui na unalisema, huo ni umbea. Ni vema jambo kama hulijui, ukae kimya kuliko kupotosha. Na sisi watanzinia ni wavivu mno wa kutafuta ukweli hata kama upo wazi. Narudia, ni wavivu mno hata kwa vitu vilivyowazi

Senzo yupo hai.
Nadhani ungepeleka hoja zako ktk uzi uliotangulia. Mkuu, huwa mnaongelea mambo gani na huyo Senzo wako?
Msalimie sana Senzo, mwambie tuna mmiss sana!
 
Acha upumbavu wewe hebu tupia namba yake hapa tuanze kuwasiliana nae usidhani kila mtu ni mvuta bange kama wewe sisi sio mafara kama ulivyo wewe uongo peleka kwenye siasa sio hapa
Acha kupotosha wewe! Wewe unamzungumzia Senzo mchezaji wa mpira, si muimbaji wa Reggae. Hivi huoni aibu kudanganya watu. Alafu unasema Kelly Khumalo. Who is Kelly Khumalo? Yaani unadanganya hadi unajionea aibu mwenyewe.
 
msipende kushambulia mtu bila kutafiti ni kweli SENZO hajafariki kama wengi tulivyoaminishwa.
 
Nimeona kuna uzi unauliza kama Senzo Mthethwa, msanii wa reggae wa Afrika kusini aliyetamba miaka ya 90 kama yu hai ama amefariki. Senzo yupo hai. Naongea hili kwa ujasiri kabisa, kwa kuwa mimi ni mmoja ya watu wanaowasiliana na Senzo mara mojamoja kwa simu.

Ni kwamba, Senzo alikuwa anaumwa sana hali iliyomfanya apoteze sauti alipokwenda Malawi kwenye tour ya music 1999. Licha ya hivyo, ameweka documentary yake youtube kukanusha kwa uzushi uliokuwepo kwamba alipigwa risasi, mara lile, mara hili.

Sasa kuna jamaa kwenye huo uzi uliobandikwa kumuhusu Senzo, anachangia kuwa ameuawa 2015, inaonesha hadi mishipa inamtoka japo simuoni na ananukuu maneno yake kabla ya kuuawa na kuna baadhi ya wavivu wanaamini umbea wake. Maana kama jambo hulijui na unalisema, huo ni umbea. Ni vema jambo kama hulijui, ukae kimya kuliko kupotosha. Na sisi watanzinia ni wavivu mno wa kutafuta ukweli hata kama upo wazi. Narudia, ni wavivu mno hata kwa vitu vilivyowazi

Senzo yupo hai.
Huku unasema kapoteza sauti huku unasema unawasiliana naye kwa simu...!!!!


Utakuwa matatizo wewe.
 
Hizo ni rumors tu, Senzo hayupo duniani, hata rafiki yake kelly khumalo alithibitisha.

Ushahidi wa polisi nao upo kutokana na mauwaji yake yaliyofanywa na Longwe
Boss Senzo Meyiwa alikua goalkeeper namba moja wa Amabhakan’ya,Orlando Pirsates na Bafana bafana na akiwa na mahusiano na muigizaji Kelly Khumalo(aliigiza kama Sunay kwenye Rythm City mwanzon).Aliuawa kwa kupigwa risasi nyumbani kwa Kelly.Senzo Mtethwa alikua mwanamuziki na hakuwahi semwa kua na mahusiano na Kelly
 
amekufa miaka mingi sana, tena aliuliwa na lucky dube, huyo alieko hai atakuwa mzimu wake
 
Back
Top Bottom