Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,267
Akizungumza Jana kwenye mkutano wa CAF Jijini Arusha, aliyekuwa CEO wa Klabu ya Yanga African Senzo Mbatha, amesema kuwa katika maisha yake ya soka nchini Tanzania, amejifunza kufanya kazi katika mazingira ambayo hayana uhuru kwa asilimia kubwa.
"Kwa soka la Tanzania nimejifunza kufanya kazi kwenye mazingira ambayo hayakuruhusu kuwa huru kwa asilimia 100%".
"Lakini siyo kwa njia mbaya kwasababu vitu vinafanyika kwa namna fulani, kwahivyo unapaswa kujifunza hayo mazingira, ukitaka kuleta kitu ni lazima ujifunze namna ya kufanya hivyo".
"Siku ambayo Tanzania inatenganisha siasa na weledi wa uendeshaji, soka litanyanyuka mara mbili ya hivi sasa". Senzo Mbatha
"Kwa soka la Tanzania nimejifunza kufanya kazi kwenye mazingira ambayo hayakuruhusu kuwa huru kwa asilimia 100%".
"Lakini siyo kwa njia mbaya kwasababu vitu vinafanyika kwa namna fulani, kwahivyo unapaswa kujifunza hayo mazingira, ukitaka kuleta kitu ni lazima ujifunze namna ya kufanya hivyo".
"Siku ambayo Tanzania inatenganisha siasa na weledi wa uendeshaji, soka litanyanyuka mara mbili ya hivi sasa". Senzo Mbatha