mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Ebu tafuta mashtaka ya hao watu.
Usikurupuke.
Hao matumizi mabaya ya fedha sio kupanga matokeo
Usikurupuke.
Hao matumizi mabaya ya fedha sio kupanga matokeo
Acha ushabiki malinzi,mwesigwa,aden rage wote walinyea debe jela kisa mpira,match fixing ni kosa kisheria ni rushwa