Akili kweli
New Member
- Sep 10, 2012
- 3
- 0
Nlkua maskan napiga story na mzee.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe na wewe mtoto downtown city centre, mtoto wa mwalim chuma, matata, madam simon etc, I was there in forodhan primary xul,,
Sept 11 nilikuwa mbeya kusalimia kijin kwetu nikasikia osama kailipua marekan yote nilishtuka baadae ndo b mkubwa akanambia ni WTC ndo imelipuliwa sio america yote
Nlikuwa std 5 kipindi hicho darajani primary school tanga
Shosti kumbe nimekuzidi darasa moja?
Me nilikuwa drs la 6 pale Forodhani.
Nipe Shikamoo yangu.
But madam B nahis ulikuwa la 7 as mwaka 2001 forodhan ilikuwa haina la 6, mimi nimemaliza 2000 wakati namaliza tuliacha darasa moja tu ambalo lilikuja kumaliza 2001,,, yap yap yap ni farid saiwad aka white..
So na mimi nilikuzid darasa moja madam
Shosti kumbe nimekuzidi darasa moja?
Me nilikuwa drs la 6 pale Forodhani.
Nipe Shikamoo yangu.
Nlikuwa std 5 kipindi hicho darajani primary school tanga
Haya nitayarishieni Shikamoo yangu haraka sana kabla sijawatuma mkaniletee bakora yangu..
Aisee hilo tukio nilikua UK, ndio naamka hivi nikasema niwashe TV dooh nakuta SKY BREAKING NEWS nikaona ka vile siamini nikachange channel nikaweka BBC nao breaking news nikabadilisha nikaweka CNN nao hivyo hivyo nikajua kweli kumekucha, UK nzima ilisimama...HEATHROW NA GATWICK airport zikafungwa mapolisi kila mahali yaani tukio lilitokea US lakini UK ilipanic utadhani ndio ilikua imetokea kwao..it was amazing..sitakaa nisahau
Nlikuwa std 5 kipindi hicho darajani primary school tanga
Usimtishe mtu hapa wewe?
Ukubwa si hoja,hoja ni virutubisho.