Sera Mpya; Ukioa mwanamke asiye na cheti cha form four jela miaka 30

Sera Mpya; Ukioa mwanamke asiye na cheti cha form four jela miaka 30

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
IMG-20240817-WA0011.jpg


========

Kauli hii ilitolewa na naibu waziri wa elimu wakati huo Joseph Kakunda na ilileta mjadala kwa watu wengi. Hata hivyo Novemba 10, 2017 Kakunda alikuja kutolea ufafanuzi bungeni kwamba alimaanisha sera mpya miaka ijayo itakuwa lazima mtoto kusoma kuanzia chekechea mpaka kidato cha nne kama elimu msingi hivyo kila mtu atakuwa lazima awe amemaliza kidato cha nne.

Mjadala wa kauli hiyo, soma=> Naibu Waziri Kakunda: Binti hatoolewa bila 'leaving certificate' ya form four

 
Kwa nini iwe kuoa?

Kwa nini pia isiwe kuolewa na mwanaume ambaye hajafika kidato cha nne jela miaka 30?

Kama ni swala la elime ndiyo kigezo cha ndoa,Basi mwanaume ndiyo apewe mkazo,maana mwanaume akiwa bumunda atamudu vipi mke mwenye elimu ya form four?

Pia kwa kigezo walichotaja,vipi kama nitam propose huyo Binti wakati ameshatimiza umri wa kuolewa wa miaka 18 lakini akawa hajafika kidato cha nne? Nimwambie arudi kwanza shule akatimize vigezo na masharti ndiyo nimuoe?
 
Hizo reshuffle zianzie na men must wawe degree holders…. Na GPA ziwe za kueleweka
 
Kwa nini iwe kuoa?

Kwa nini pia isiwe kuolewa na mwanaume ambaye hajafika kidato cha nne jela miaka 30?

Kama ni swala la elime ndiyo kigezo cha ndoa,Basi mwanaume ndiyo apewe mkazo,maana mwanaume akiwa bumunda atamudu vipi mke mwenye elimu ya form four?

Pia kwa kigezo walichotaja,vipi kama nitam propose huyo Binti wakati ameshatimiza umri wa kuolewa wa miaka 18 lakini akawa hajafika kidato cha nne? Nimwambie arudi kwanza shule akatimize vigezo na masharti ndiyo nimuoe?
Mwanaume labda wataweja kigezo cha hela/mali/uchumi tuone je unaweza kuntunza mkeo.pianguvu za kiume zipimwe kabla ya kuoa
 
Mwanaume labda wataweja kigezo cha hela/mali/uchumi tuone je unaweza kuntunza mkeo.pianguvu za kiume zipimwe kabla ya kuoa
Tanzania Ina takriban watu million 65,kati yao wenye uchumi,Mali na Hela (kipato cha kukidhi mahitaji muhimu bila stress) si zaidi ya milioni 10,ndiyo maana tunahesabika kuwa ni nchi masikini,means zaidi ya 60% tunaishi chini ya Dola Moja.

Swali langu,

Hao watu zaidi ya 60% ambao ni masikini wasiruuhusiwe kutoa kisa hali yao ya uchumi haikidhi?

2.Nguvu za kiume zinapimwaje?

Mbona mnacomplicate sana maisha?
 
Tanzania Ina takriban watu million 65,kati yao wenye uchumi,Mali na Hela (kipato cha kukidhi mahitaji muhimu bila stress) si zaidi ya milioni 10,ndiyo maana tunahesabika kuwa ni nchi masikini,means zaidi ya 60% tunaishi chini ya Dola Moja.

Swali langu,

Hao watu zaidi ya 60% ambao ni masikini wasiruuhusiwe kutoa kisa hali yao ya uchumi haikidhi?

2.Nguvu za kiume zinapimwaje?

Mbona mnacomplicate sana maisha?
Sio mimi mkuu swali lako liende jwa watunga sera wa serikali tako tukufu ya mheshimiwa malkia Dk,amiri jeshi mkuu ,mwenyekiti wa chama Rais SSH.

Hivi unajua huwezi kusomea upadre bila kupimwa nguvu za kiume,nguvu zinapimika tu
 
View attachment 3072296

========

Kauli hii ilitolewa na naibu waziri wa elimu wakati huo Joseph Kakunda na ilileta mjadala kwa watu wengi. Hata hivyo Novemba 10, 2017 Kakunda alikuja kutolea ufafanuzi bungeni kwamba alimaanisha sera mpya miaka ijayo itakuwa lazima mtoto kusoma kuanzia chekechea mpaka kidato cha nne kama elimu msingi hivyo kila mtu atakuwa lazima awe amemaliza kidato cha nne.

Mjadala wa kauli hiyo, soma=> Naibu Waziri Kakunda: Binti hatoolewa bila 'leaving certificate' ya form four

ikitokea hivo basi wasukuma wengi wataenda jela maana huko usukuman watu ambao hajaenda shule ni wengi kuliko walioenda shule na hata walioenda shule asilimia kubwa huwa wanaacha ili waolewe. Pia hawa jamaa wanaoana sana na wanapenda kuoa vischana vidogo miaka 13 hadi 16 hapo waschana wengi wanakuwa wameshaolewa
 
Ikitekelezeka italeta manufaa makubwa sana na Taifa japo kidogo.
 
Kwa nini iwe kuoa?

Kwa nini pia isiwe kuolewa na mwanaume ambaye hajafika kidato cha nne jela miaka 30?

Kama ni swala la elime ndiyo kigezo cha ndoa,Basi mwanaume ndiyo apewe mkazo,maana mwanaume akiwa bumunda atamudu vipi mke mwenye elimu ya form four?

Pia kwa kigezo walichotaja,vipi kama nitam propose huyo Binti wakati ameshatimiza umri wa kuolewa wa miaka 18 lakini akawa hajafika kidato cha nne? Nimwambie arudi kwanza shule akatimize vigezo na masharti ndiyo nimuoe?
Swali zuri sana, swali fikirishi, kama wangefanya indepth analysis, au root cause analysis ya sababu ya kuweka kifungu hiki basi wangegundua mwanaume ndiyo priority, na kama ni sheria ingekata sehemu zote mbili. Kwa taarifa tu, kwenye ulimwengu wa sasa mwanamke anaeza kumuoa mwanaume na viceversa, kwani mwanamke akimpatia mwanaume mahali na uhakika wa kumtunza , akamwambia amchumbie watakaa wote, hapa aliyeoa ni nani? na hizi couples mbona ziko nyingi tu.
 
Back
Top Bottom