Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]WhatsApp wamelewa sifa, hata hivyo una taarifa zipi za kukutia hofu?[emoji276]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu tunashikwa na vitofauti vidogo mno, eti hapo jamaa anaona raaahaaa!![emoji28][emoji28]
Hujaelewa! Yaani hiyo feature ina work kama vile conference, kama ushawahi tumia Zoom Meeting utakua unaelewa! Em nambie whatsapp wana hii feature wapi???😀😀 wafanyabiashara wajanja sana, ss nikiongea na ww ukaongea kuna tofauti gani na normal call au whatsapp call?
Ni kweli sijaelewa boss.Hujaelewa! Yaani hiyo feature ina work kama vile conference, kama ushawahi tumia Zoom Meeting utakua unaelewa! Em nambie whatsapp wana hii feature wapi???
NaaaaamKifo cha Zuckerberg kibiashara, tunahamia SIGNAL na Telegram.
Everyday is Saturday............................... 😎
Hio si ni sawa na voice call tu au ipoje?Hakuna kama telegram kwa sasa. Toleo jipya lina "voice chat" hii ni kama radio call mnachat live kabisa na sio mpaka urecord afu utume hapana unaongea na mwenzako anaongea. Nineipenda sana hii
Kama alivyofanya Osama, alirudi stone age ndio maana iliwachukua muda mrefu sana kumpataKilichowaponza Whatsapp ni kuwa 'Honest', ki uhalisia Hakuna Mtandao wa kijamii wa Dunia ya Kwanza Usiofanya kitu wanachofanya Whatsapp. Walichofanya Whatsapp/Fb ni kukueleza tu kua Taarifa zako tutazitumia kibiashara, Je unafahamu mitandao mingine inatumia vipi taarifa zako? Njia rahisi ya Kulinda Faragha zako mtandaoni ni Kutokutumia Mtandao kabisa.
Zuckerberg ana mambo ya kise.nge sana. Ameona kama dunia yote ya social network ni yake.. akijichanganya anaporomoka na ndio nafasi ya mitandao mengine ya kijamii kupanda.. yenye uhuruHii Inshu yaweza kuwa pigo Kwa Zuckerberg, Tangu Mtaalamu Musk aponde hio sera mpya na kushauri watu watumie Signal App, wengi washaanza kuilalamikia WhatsApp.
Ukiangalia Musk ni mtu mkubwa sana(sasa hivi yupo Juu pale ya Mabilionea) kitu kidogo tuu atakachosema kinaondoka na lundo la watu..
Kuachana na hilo, hawa jamaa kama wana bifu fulani hivi la chini chini.