Kimwerymdodo5
JF-Expert Member
- Feb 10, 2019
- 2,043
- 3,305
me cna taarifa yoyote ya muhimu kwenye hiyo WhatsApp... nitaendelea kutumia until naingia kaburini... tusitishane😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hii ndio sababu fb wanacheza na akili zetu!!Kuna advantage ya Data collection ..inakuwa rahisi kwa customized ads kufikia ..kwa upande wangu sioni tatizo kabisa..kuhamia mitandao mingine kuna challenge ya kupata watu unaofahamiana nao
Kwa level walioyofikia WhatsApp & Facebook ni ngumu sana kuwachallange watu wanasema wanahama lakini hii ni hype tu ya muda lakini hawawezi kuicha iyo mitandaoNa hii ndio sababu fb wanacheza na akili zetu!!