Sera mpya ya faragha ya WhatsApp inavyowafukuza wateja

me cna taarifa yoyote ya muhimu kwenye hiyo WhatsApp... nitaendelea kutumia until naingia kaburini... tusitishane😎
 
Itafukuza wateja wa nje Africa pekee.

Huku Africa hakuna mtu anajali privacy.
 
Kuna advantage ya Data collection ..inakuwa rahisi kwa customized ads kufikia ..kwa upande wangu sioni tatizo kabisa..kuhamia mitandao mingine kuna challenge ya kupata watu unaofahamiana nao
Na hii ndio sababu fb wanacheza na akili zetu!!
 
Na hii ndio sababu fb wanacheza na akili zetu!!
Kwa level walioyofikia WhatsApp & Facebook ni ngumu sana kuwachallange watu wanasema wanahama lakini hii ni hype tu ya muda lakini hawawezi kuicha iyo mitandao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…