johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kwa mfano wasanii wengi ni wanachama wa UVCCM na walikuwa wakifadhiliwa na chama katika hatua mbalimbali ili kuikuza sanaa yao!CCM inawaleaje?
Hebu toa mwongozo kidogo.
Wakifadhiliwa vipi ?Kwa mfano wasanii wengi ni wanachama wa UVCCM na walikuwa wakifadhiliwa na chama katika hatua mbalimbali ili kuikuza sanaa yao!
Kila kitu na kupewa ukumbi wa kufanyia mazoezi!Wakifadhiliwa vipi ?
Kulipiwa studio au video ?
AiseeKila kitu na kupewa ukumbi wa kufanyia mazoezi!
Kwanini?Tuwachukie, tunagomea nyimbo za dimondi na zuchu, mengine mimi sielewi🤣🤸🐒
Kwa mfano Diamond ana njaa gani?Wasanii wanatakiwa wawe upande wa haki, hata wakipanda majukwaa ya siasa hatuna shida nao ila wahakikishe wanakuwa upande wa kutetea maslai ya haki... Hawa wasanii wa bongo ni njaa tu zinawasumbua
Nafahamu sera ya CCM inahimiza kuwalea wasanii katika tasnia zote ili waweze kufikia viwango na mafanikio ya kimataifa.
Ndio maana unawaona akina Samatta, Msuva, Diamond nk nk wakitoboa.
Sera za Chadema sijajua zinasemaje.
Mwenye nazo atujuze Tafadhali.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Hata akina Roma na Ney wa mitego!Unamaana hawa hawa wanaoimba "magu babalao" au wengine?
Hata akina Roma na Ney wa mitego!
John kama haujapewa cheo ndani ya chama, kiukweli hawakutendei haki.....Kila kitu na kupewa ukumbi wa kufanyia mazoezi!
Sera zao ni chuki na kukataa ushirikiano!Nafahamu sera ya CCM inahimiza kuwalea wasanii katika tasnia zote ili waweze kufikia viwango na mafanikio ya kimataifa.
Ndio maana unawaona akina Samatta, Msuva, Diamond nk nk wakitoboa.
Sera za Chadema sijajua zinasemaje.
Mwenye nazo atujuze Tafadhali.
Nawatakia Sabato yenye baraka!
Hahahaaaa...... Ni mapenzi tu kwa CCM manka!John kama haujapewa cheo ndani ya chama, kiukweli hawakutendei haki.....
Ndio inabidi ccm nayo ikupende, ningekua na uwezo ningempumzisha mtoto wa dada, heri james hiyo nafasi nikupe....Hahahaaaa...... Ni mapenzi tu kwa CCM manka!
Sasa kama ni Wanachama wa Uvccm wanaihusu nini CHADEMA?Kwa mfano wasanii wengi ni wanachama wa UVCCM na walikuwa wakifadhiliwa na chama katika hatua mbalimbali ili kuikuza sanaa yao!